Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa JMT, Tundu Lissu kujibu maswali ya wananchi watumiao mitandao

Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa JMT, Tundu Lissu kujibu maswali ya wananchi watumiao mitandao

Baba Lissu Baba....Fao la kujitoa na kikokoteo...naomba iwe first assignment yako
 
Naomba maswali mengine yasiyo ya kisera na yale ya kizushi ya wana-vegans, mtuachie tu, ni saizi yetu wale! Mh. Lissu, makamanda wakuu na hata mapro mtandaolists wafanya kazi nyingine za muhimu!
 
Kutokana na mwitikio mkubwa wa wananchi kumuuliza maswali Mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Ndg. Tundu Lissu; imebidi apate muda kuyapitia maswali yote (takriban 200) ili kila mmoja ajibiwe. Maswali hapa JF yaliulizwa kupitia > Uchaguzi 2020 - EXCLUSIVE: Maswali kwa Mgombea Urais wa JMT, Tundu Lissu kutoka kwa Watanzania watumiao mitandao ya kijamii

Aidha, takribani maoni 600 yamekusanywa toka Facebook na mengine takribani 165 toka Instagram; mengine 66 ya Twitter pamoja na wale waliotuma SMS, DM na barua pepe(Email).

Tunatarajia kufikia kesho atakuwa ameyapitia maswali hayo na yote yatajibiwa.

Shukran kwa wote walioshiriki; tunaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza
Basi sawa, nimehangaika kuyatafta majibu ya maswali hola, mpaka nimetuma PM kwako

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom