Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,172
Habari zinazotangazwa na TBC1 hivi sasa zinaeleza kuwa mgombea wa ubunge wa CCM huko tarime, Bwana Kangoye amekataa kuyatambua matokeo ya uchaguzi wa Ubunge yaliyompa ushindi mgombea wa Chademe, bwana Mwera.
Anasema hakubaliani na matokeo hayo kwa sababu kuna kasoro nyingi zilizojitokeza katika uchguzi ambazo hazikurekebishwa hadi siku ya upigaji kura.
Ameitaja moja ya kasoro hiyo ni matokeo kutangazwa bila ya wao kupewa nafasi ya kulinganisha matokeo ambayo wao waliyapata kutoka vituoni na yale yaliyotangazwa na Msimamizi.
Habari zinazotangazwa na TBC1 hivi sasa zinaeleza kuwa mgombea wa ubunge wa CCM huko tarime, Bwana Kangoye amekataa kuyatambua matokeo ya uchaguzi wa Ubunge yaliyompa ushindi mgombea wa Chademe, bwana Mwera.
Anasema hakubaliani na matokeo hayo kwa sababu kuna kasoro nyingi zilizojitokeza katika uchguzi ambazo hazikurekebishwa hadi siku ya upigaji kura.
Ameitaja moja ya kasoro hiyo ni matokeo kutangazwa bila ya wao kupewa nafasi ya kulinganisha matokeo ambayo wao waliyapata kutoka vituoni na yale yaliyotangazwa na Msimamizi.
Habari zinazotangazwa na TBC1 hivi sasa zinaeleza kuwa mgombea wa ubunge wa CCM huko tarime, Bwana Kangoye amekataa kuyatambua matokeo ya uchaguzi wa Ubunge yaliyompa ushindi mgombea wa Chademe, bwana Mwera.
Anasema hakubaliani na matokeo hayo kwa sababu kuna kasoro nyingi zilizojitokeza katika uchguzi ambazo hazikurekebishwa hadi siku ya upigaji kura.
Ameitaja moja ya kasoro hiyo ni matokeo kutangazwa bila ya wao kupewa nafasi ya kulinganisha matokeo ambayo wao waliyapata kutoka vituoni na yale yaliyotangazwa na Msimamizi.
Habari zinazotangazwa na TBC1 hivi sasa zinaeleza kuwa mgombea wa ubunge wa CCM huko tarime, Bwana Kangoye amekataa kuyatambua matokeo ya uchaguzi wa Ubunge yaliyompa ushindi mgombea wa Chademe, bwana Mwera.
Anasema hakubaliani na matokeo hayo kwa sababu kuna kasoro nyingi zilizojitokeza katika uchguzi ambazo hazikurekebishwa hadi siku ya upigaji kura.
Ameitaja moja ya kasoro hiyo ni matokeo kutangazwa bila ya wao kupewa nafasi ya kulinganisha matokeo ambayo wao waliyapata kutoka vituoni na yale yaliyotangazwa na Msimamizi.
Mfa maji huyo......
Yes ni kweli uchaguzi haukuwa wa haki kama ungekuwa wa haki CHADEMA wangepata 80% CCM 19%
Kubali matokeo na songa mbele na kujiandaa na 2010. CCM ndio chama tawala, kama umeshindwa naamini ni kwa hakika kabisa. Ni ngumu kuamini mtu wa CCM akisema ameonewa.
Kasoro haziwezi kukosekana katika chaguzi za Tanzania, lakini kwa chama tawala kulalamikia kasoro tena kwa Tanzania naona haiingii kichwani.
Ni sawa kabisa! hakuna namna nzuri ya kukata rufaa zaidi ya kukata rufaa kwa wananchi wenyewe kama anaona kaonewa 2010 is just round the corner asubiri akate rufaa kwa wananchi.
The way huyu jamaa anavyopayuka ovyo sadly i have to congratulate Tarime people for electing Chadema MP