Mgombea wa CCM Tarime akataa matokeo

Huyu Bwana Kangoye akubali tu matokeo kwakua alikubali kushauriwa na Tambwe Hiza ambaye kashindwa chaguzi 3 temeke alitegemea nini? Tambwe Hiza anajua sana namna ya kushindwa uchaguzi na ndio kilichotokea sasa unakataa nini? Mwaka 2010 tafuta washauri wazuri wanaojua kushinda chaguzi.
 
Dah;Kweli bwana.Nimeipenda hiyo.

Lazima uipende hakuna hata mmoja atakesema uchazguzi haukuwa wa haki na huru only kwa kuwa opposition candidate kashinda ndio standard zetu bongo hizi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…