Uchaguzi 2020 Mgombea wa CHADEMA aliyewauza kauzwa

Uchaguzi 2020 Mgombea wa CHADEMA aliyewauza kauzwa

Moja kwa moja madani.

Aliyekuwa mgombea wa ubunge jimbo la Chalinze kwa tiketi ya Chadema, amedhulumiwa pesa zake kiasi cha tsh 45mil.
Awali aliahidiwa 20mil akazikataa, dau likapanda hadi 30mil akazikataa pia.
Mshua aliyepita bila kupingwa akamwekea mezani 50mil akaingia mkenge. Sasa akapewa sharti kwamba kama ameridhika na kiasi hicho, basi apewe advance, aandike barua aipeleke kwa mkurugenzi wa uchaguzi akajitoe kisha aje ajibebee mzigo ulio baki, Akakubali.

Akapewa 5mil kama advance, akafanya kadri ya makubaliano na akafanikiwa kujitoa.
Aliporudi ili akabidhiwe 45mil yake, mshua akaanza kumzungusha daily, akawa akipiga cm mshua hapokei badala yake akawa akitumiwa msg za madai, yeye anaanza kuwaonesha makada wa Chadema aliokaribu nao jinsi mgombea wao anavyo msumbua.
Baada ya siku akadhaa, ikabidi tu amwambie ukweli kwamba "hiyo 5mil ilikutosha, kama hujaridhika kashtaki.

Mimi tu nimepona, mimi tu kuwaletea habari.

Sent from my Infinix X606B using JamiiForums mobile app
Ndo aina ya baadhi ya wagombea wa chadema tumbo kwanza wananchi baadae
 
Kwanza Angeshindia Wapi

Angeshinda huyu...!!

Kama asingekuwa na uwezo wa kushinda, mshindani wake anayetuhumiwa kutoa rushwa (Ridhiwan Kikwete) asingemwekea mzigo wa 50,000,000 mezani...

Na kwa hakika, ange calculate vizuri move yake, angezichukua hizi milioni 50 mchana kweupe..

Bahati mbaya mwovu na mwovu walipambana, mwovu mkuu akamshinda mwovu dhaifu...!!
 
Majimbo ambayo wagombea wake hawapendwi majimboni kwao pamoja na la Chalinze,. Pengine angelikuwa amejifanyia utafiti, angeliweza kuwa Mbunge

Sjui ni lini tutafikia kwenye siasa ya kuangalia mtu anayefaa na siyo anatokachama gani!
Hiyo itakuwa suluhu ya matatizo yetu

Kwenye nafasi ya Uraisi, narudia kusema, kwenye nafasi ya Uraisi tusifanye makosa, Lisu hafai hata kujaribishia
 
Moja kwa moja madani.

Aliyekuwa mgombea wa ubunge jimbo la Chalinze kwa tiketi ya Chadema, amedhulumiwa pesa zake kiasi cha tsh 45mil.
Awali aliahidiwa 20mil akazikataa, dau likapanda hadi 30mil akazikataa pia.
Mshua aliyepita bila kupingwa akamwekea mezani 50mil akaingia mkenge. Sasa akapewa sharti kwamba kama ameridhika na kiasi hicho, basi apewe advance, aandike barua aipeleke kwa mkurugenzi wa uchaguzi akajitoe kisha aje ajibebee mzigo ulio baki, Akakubali.

Akapewa 5mil kama advance, akafanya kadri ya makubaliano na akafanikiwa kujitoa.
Aliporudi ili akabidhiwe 45mil yake, mshua akaanza kumzungusha daily, akawa akipiga cm mshua hapokei badala yake akawa akitumiwa msg za madai, yeye anaanza kuwaonesha makada wa Chadema aliokaribu nao jinsi mgombea wao anavyo msumbua.
Baada ya siku akadhaa, ikabidi tu amwambie ukweli kwamba "hiyo 5mil ilikutosha, kama hujaridhika kashtaki.

Mimi tu nimepona, mimi tu kuwaletea habari.

Sent from my Infinix X606B using JamiiForums mobile app
Very good
 
Kama hii ni ya kweli basi huyo jamaa atakuwa mpuuzi na nusu.
 
Dah hivi hiki chama kinawezaje kuwa na viongozi wanaonunuliwa kirahisi kwa maslahi yao?
Wanachama wa chadema ni watanzania ambao Magufuli unajigamba kuwafikisha zucchini wa kati wa kipato cha USD 1080.00 kwa mwaka. JE kipato hizo unaweza kufanyia acha kujitia ufahamu ,uliza pia huyo anayewanunua anawanunua pia kwa maslahi ya nani?
 
Sio vizuri kuamini amini kila unachosikia, usikurupuke hovyo.
Mkuu amini hivyo,wewe huoni mgombea wetu wa CHADEMA anasema akiwa rais atayeweka madini yetu kama dhamana ili kupata mikopo toka kwa mabeberu wake?

Swali ni kwamba je madini ni renewable or non- renewable ? Je yakiisha si atarudi kwa familia zetu na kuziweka bondi kwa mabwana Zake?

Lissu na CHADEMA yake ni hatari kuliko ukoma.
 
Dah hivi hiki chama kinawezaje kuwa na viongozi wanaonunuliwa kirahisi kwa maslahi yao?
Na hiki chama kinakosaje ushawishi mpaka kina nunua watu huu Ni utapeli chama kimeshajiozea akina ushawishi kwa wananchi kimebakia kuiba hela za kodi na kununua watu
 
Hii kitu kama ni kweli, basi inaonesha njaa na kutojiamini, ukijumlisha usaliti ni kitu kibaya sana.

Tutasika mengi sana kwa wale waliotainguli kufanya hizo biashara za kujiuza.
Unaweka rehani kiinua mgongo Cha mil.200 kwa ahadi za mln 50 na future unapoteza,Safi Sana ndio dawa ya watu dizaini hii
 
Back
Top Bottom