Zanzibar 2020 Mgombea wa Chama Makini na Africa Democratic Alliance wakana kuwawekea pingamizi wagombea ubunge wa ACT Wazalendo

Zanzibar 2020 Mgombea wa Chama Makini na Africa Democratic Alliance wakana kuwawekea pingamizi wagombea ubunge wa ACT Wazalendo

Subiri uone vituko vya NEC kama hiyo barua ya pili wataikubali.
Sio ajabu wakija na hoja kwamba jimbo linalo zungumziwa ni KWA GOMBE - CHAMBANI lakini muandishi ameandika JIMBO LA CHAMBANI, (kwa gombe ameiacha) hivyo barua hii ni batili.

Bw. YUSSUF SLIM HUSSEIN
Bw. YUSSUF SALIM HESSEIN
Bw. YUSSUF SALIM HUSSEIN
Ni watu watatu tofauti na wakati mgombea wa ACT wazalendo aliye chukuwa fomu ni mmoja. Hivyo barua hii ni batili na tume inaendelea kutomtambua mgombea wa ACT wazalendo kuwa mgombea.
 
Hahaaa! Usikute anapanga polepole ila watu wanamshukia Magufuli na nec hawashituki?
 
Mpk comment yangu huu ya 27 Mataga sijawaona kwny uzi huu,sijui wamepotelea wapi aisee.
 
Ni aibu tupu!!
Ni aibu kweli ya demokrasia ya Tanzania.Tatizo aibu tunaona sisi waungwana lakini huyo anayetenda hayo hana haya ndio maana anarudia kila siku.
 
Back
Top Bottom