Mwezi Septemba mwaka huu bull dozer ilikuja mtaani kwetu na kutifua barabara tangu siku hiyo halijawahi kurudi japo kusawazisha.
Barabara mbaya ina matuta haijawasazishwa tunapita kwa tabu sana.
Najua lengo lako ilikuwa kutuchota akili ili tukupe nafasi nyingine. Ninachokuomba turekebishie barabara yetu mvua zikianza itakuwa mbaya zaidi.
Pia soma ~ Barabara ya Mtaa wa Sabasaba Manispaa ya Singida Kutengenezwa
Barabara mbaya ina matuta haijawasazishwa tunapita kwa tabu sana.
Najua lengo lako ilikuwa kutuchota akili ili tukupe nafasi nyingine. Ninachokuomba turekebishie barabara yetu mvua zikianza itakuwa mbaya zaidi.
Pia soma ~ Barabara ya Mtaa wa Sabasaba Manispaa ya Singida Kutengenezwa