T try me Member Joined Nov 8, 2024 Posts 16 Reaction score 11 Nov 20, 2024 #1 Mwezi Septemba mwaka huu bull dozer ilikuja mtaani kwetu na kutifua barabara tangu siku hiyo halijawahi kurudi japo kusawazisha. Barabara mbaya ina matuta haijawasazishwa tunapita kwa tabu sana. Najua lengo lako ilikuwa kutuchota akili ili tukupe nafasi nyingine. Ninachokuomba turekebishie barabara yetu mvua zikianza itakuwa mbaya zaidi. Pia soma ~ Barabara ya Mtaa wa Sabasaba Manispaa ya Singida Kutengenezwa Attachments IMG-20241120-WA0008.jpg 34.4 KB · Views: 3
Mwezi Septemba mwaka huu bull dozer ilikuja mtaani kwetu na kutifua barabara tangu siku hiyo halijawahi kurudi japo kusawazisha. Barabara mbaya ina matuta haijawasazishwa tunapita kwa tabu sana. Najua lengo lako ilikuwa kutuchota akili ili tukupe nafasi nyingine. Ninachokuomba turekebishie barabara yetu mvua zikianza itakuwa mbaya zaidi. Pia soma ~ Barabara ya Mtaa wa Sabasaba Manispaa ya Singida Kutengenezwa
Papaa Mobimba JF-Expert Member Joined Jan 27, 2018 Posts 882 Reaction score 3,337 Nov 20, 2024 #2 Kila mkoa una mtaa wa Sabasaba, kuwa specific unamaanisha sabasaba ya wapi
Podcast JF-Expert Member Joined Aug 21, 2018 Posts 767 Reaction score 901 Nov 20, 2024 #3 Sabasaba ya wapi sasa
green rajab JF-Expert Member Joined Oct 16, 2015 Posts 12,387 Reaction score 39,119 Nov 20, 2024 #4 Papaa Mobimba said: Kila mkoa una mtaa wa Sabasaba, kuwa specific unamaanisha sabasaba ya wapi. Click to expand... Kwenye heading wameshaandika Singida
Papaa Mobimba said: Kila mkoa una mtaa wa Sabasaba, kuwa specific unamaanisha sabasaba ya wapi. Click to expand... Kwenye heading wameshaandika Singida
green rajab JF-Expert Member Joined Oct 16, 2015 Posts 12,387 Reaction score 39,119 Nov 20, 2024 #5 Podcast said: Sabasaba ya wapi sasa Click to expand... Singidani