Elections 2015 Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli

Pasco unazingua tumwagie sababu, sisi wagalatia tunataka kuzijua
Hivyo hizo sababu kwa nini ni Magufuli na ni nani walioamua ni Magufuli, nilitajiwa, ila mimi mwenyewe siamini kuwa huo ndio ukweli wenyewe!, ndio maana nikashauri, amini kuwa nilisema ni Magufuli na kweli ikatokea tuu kuwa ni kweli ni Magufuli, just a coincidentally!.

Pasco
 

Ha ha ha ha..."then Magufuli atakuwa hatufai kabisa ni mtu wa kumuogopa kama ukoma"

Mkuu Pasco, bado unashikilia hii kauli yako?
 
Kipindi kile niliwahi kutabili kama hivi kijiwe fulani...kidogo wanakijiwe waniweke kaa la moto mdomoni...!!!
 
Aisee

 
..i am not.

..watu walikuwa hawa pay attention kwa mambo aliyokuwa akifanya.

..hata kashfa ya kuuza nyumba za serikali wapinzani wangeifuatilia na kuundiwa tume bila shaka ingemuondoa ktk uongozi.
 
Mussolin5,

..umesema mimi ni legend but i am not.

..watu walikuwa hawa pay attention kwa mambo aliyokuwa akifanya.

..hivi sifa alizokuwa akimpa JK ktk mikutano ya hadhara mlikua hamuoni kwamba ni mtu wa ajabu kidogo?

..hata kashfa ya kuuza nyumba za serikali wapinzani wangeifuatilia na kuundiwa tume bila shaka ingemuondoa ktk uongozi.
 
Asilimia 90 ya id zilizochangia huu uzi wakati huo zote zilikua Mpya na zimepotea hadi leo
 
Njoo tena urudie kusoma hii post yako
 
Hii post iishi miaka 10...
 
Hii post iishi miaka 10...
Vigezo hivi ndivyo vilipaswa kuzingatiwa na wana Usalama wa Taifa katika kumshauri Rais aliyekuwa madarakani wakati ule juu ya harakati za kumtafuta mrithi wa JK. Kwa bahati mbaya nchi haina mfumo wa serious vetting haswa kwa wagombea toka CCM! Kuna siku nchi itatawaliwa na mzungu wa unga au chizi atakayeiangamiza nchi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…