Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
- #201
Hivyo hizo sababu kwa nini ni Magufuli na ni nani walioamua ni Magufuli, nilitajiwa, ila mimi mwenyewe siamini kuwa huo ndio ukweli wenyewe!, ndio maana nikashauri, amini kuwa nilisema ni Magufuli na kweli ikatokea tuu kuwa ni kweli ni Magufuli, just a coincidentally!.Pasco unazingua tumwagie sababu, sisi wagalatia tunataka kuzijua
Pasco