Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
-
- #401
Duh...!. Kumbe ningelijua ningeli lifuta bandiko hili, saa hizi kumbe ningekuwa Bwana DC!. Oh poor me!, sasa it's too late, sijui nifanye nini?!.Hii ndio thread iliyokufanya usipate hata u DC
sijui nifanye nini?!.
P
Waafrica tulikutqna wapi na kukubaliana hivyo?Kuna tofauti kati ya Wazungu na sisi Waafrika. Kiafrika mtu akifa na kuzikwa anaachwa apumzike, hata kumzungumza kwa ubaya hairuhusiwi ila mazuri na mema yake ndio yanazungumzwa. Kwa vile ni jana tuu amepumzishwa, mwili bado ni mbichi kabisa, give time watu wapoe poe machungu ya msiba.
P
Ni lile swali alilouliza ikulu siku ile.Hii ndio thread iliyokufanya usipate hata u DC
Basi nitaenda kulia pale juu ya kaburi.Tubia
Tunahitaji rais kama magufuli,nchi hii imechoshwa na siasa na sasa inataka utendaji na vitu vionekane kwa mipango,watu wanafanya nchi kama idara ya zimamoto, nchi imekuwa na slogani nyingi,mara ari mpya,maisha bora,kilimo kwanza, big result now,mabilioni ya kikwete...magufuli hana upuuzi huo,yeye anafanya kazi japo ana mapungufu, mapungufu hayo yanafunikwa na utendaji,usimamiaji.KAMA HAMTAMPA WA MUUNGANO,NI BORA TANGANYIKA IRUDI TUTAMPA URAIS WA HUKU
Mimi naweza nikataja baadhi ya sababu ulizoambiwa.
Mosi, anatoka kanda ya ziwa ambako inadaiwa kuwa ni kanda iliyoikimbia ccm 2010. Hata majimbo waliyonayo mengi waliyachakachua.
Ile hoja ya kitoto ya kidini inaweza kuwa imejificha humo
Umachachari wake inaweza kuwa sababu mojawapo
Inaweza kuwa ni mtu muhimu kuwasaidia akina nani hili kumdhibiti mtu kwa kuwa kanda ya ziwa ina watu wengi. Nawaza tu shemeji yangu pasco
Hapo kwa RED ni 100% true.......hili tatizo hakuwa nalo kipindi cha Mkapa .......lakini pia JK hahusiki na hili ......pengine anajua mwenyewe .........:cool2:
Akina HITLER ,STALIN,MOBUTU,IDDI AMIN Hadi kesho watajadiliwa seuzi mwendazake .Nyerere mpaka leo watu wanaandika vitabu na kumjadili.
Ukitaka uachwe usijadiliwe, usigombee uongozi wa umma.
Ukigombea uongozi wa umma watu watakujadili maelfu na maelfu ya miaka.
Hizo Mila zenu za kiafrika ndio zimetufikisha hapa na zimechangia pa kubwa Sana usimikaji wa utawala uoe kiimla .Kuna tofauti kati ya Wazungu na sisi Waafrika. Kiafrika mtu akifa na kuzikwa anaachwa apumzike, hata kumzungumza kwa ubaya hairuhusiwi ila mazuri na mema yake ndio yanazungumzwa. Kwa vile ni jana tuu amepumzishwa, mwili bado ni mbichi kabisa, give time watu wapoe poe machungu ya msiba.
P
Endelea na unafiki kwa samiah atakuona[emoji1]Duh...!. Kumbe ningelijua ningeli lifuta bandiko hili, saa hizi kumbe ningekuwa Bwana DC!. Oh poor me!, sasa it's too late, sijui nifanye nini?!.
P
Nadhani baada ya JPM, kupumzishwa rasmi kwenye nyumba yake ya milele, ni busara akiachwa apumzike kwa amani na wastaafu wakaachwa wastaafu kwa amani.
RIP Dr. John Pombe Joseph Magufuli.
P
Pascal Mayala katoa hoja dhaifu sana hapo.Akina HITLER ,STALIN,MOBUTU,IDDI AMIN Hadi kesho watajadiliwa seuzi mwendazake .
Huo ndio muendelezo wa udikteta uchwara Hadi wa wafuasi wake
Shida Sana yaani
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
the reasons behind, sababu alizonitajia kada huyu za why mgombea wa CCM mwakani ni Magufuli, ambazo ndizo zimepelekea the inner core ya CCM kuamua mgombea wake wa urais wa 2015 ni lazima awe John Pombe Magufuli tuu, and no one else!.
Mkuu Arovera, karibu mitaa hii, utayapata baadhi ya majibu ya maswali yako.Wakuu
Historia ya nchi ina mapito mengi sana mapito mazuri na mapito mabaya, lakini ilikuaje kama nchi tukapata viongozi aina ya watu waliotajwa hapo juu,
Najaribu kuwaza nashindwa kupata jibu ilitokea nini hadi tukaongozwa na watu wa kariba hiyo natamani vizazi vijavyo visipate kufahamu historia za viongozi wa aina hiyo yaani wasikumbukwe kwa lolote kabisa maana ukihadithiwa ukweli unaweza kujikuta unaanza kulia kwa uchungu jinsi walivotuongoza hawa waliotajwa hapo juu.
Nauliza ilikuaje wakawa viongozi?
Wanabodi,
Leo nimekutana na rafiki yangu wa siku nyingi akanieleza seriously kuwa imeishaamuliwa (sitaji imeamuliwa na nani), kuwa mgombea wa urais wa mwaka 2015 kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi-CCM ni Mhe. John Pombe Magufuli!.
Paskali
Mkuu Nzwangendaba, kwanza hongera kwa jina zuri, linafanana na yule kiongozi wa Wangoni kutoka Africa Kusini kuja kuhamia Tanzania, Zongendamba.Kumbe kama kuna mambo makubwa aliyasema na yakatokea
Kumbuka hata biblia imesema Yesu atarudi, hadi sasa ni miaka 2000+ hajaonekana ila bado watu wanaamini na kuifuata.
Sijui wewe unayepi ya maana umeyasema na yakatokea yote hapo hapo? Pascal Mayalla