Elections 2015 Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli

Elections 2015 Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli

Wanaosema JK hakumtaka Magufuli know nothing.

Magufuli alishachaguliwa na system kumrithi JK kitambo tu kabla JK hajastaafu.

Sasa kama JK alimclear, maana yake alimuendorse. Ukizingatia fact kuwa Usalama wa Taifa uko chini ya ofisi ya rais, basi JK lazima aliplay key role kuhakikisha jina la Magufuli linapenya mpaka mwisho!
 
Kuna tofauti kati ya Wazungu na sisi Waafrika. Kiafrika mtu akifa na kuzikwa anaachwa apumzike, hata kumzungumza kwa ubaya hairuhusiwi ila mazuri na mema yake ndio yanazungumzwa. Kwa vile ni jana tuu amepumzishwa, mwili bado ni mbichi kabisa, give time watu wapoe poe machungu ya msiba.
P
Waafrica tulikutqna wapi na kukubaliana hivyo?

Mbona mimi Muafrika sikupata mualiko?

Acheni uzushi.

Magufuli alichagua mwenyewe uongozi wa umma, watu watamsema mpaka wachoke wenyewe.

Ni haki yao ya kikatiba.

Unataka kuwanyima haki yao ya kikatiba?

Mimi naanza kwa kusema Magufuli alikuwa mtu mmoja mbinafsi sana.

Alijijua ana matatizo ya moyo, kisha akagombea urais bila kuwaambia wananchi matatizo yake kwa uroho wake wa madaraka.

Matokeo yake kaweka rekodi ya kutufia akiwa raia.

Tukiwa wakweli na kusema mapungufu haya, inaweza kusaidia kama kuna mroho mwingine wa madaraka mwenye matatizo ya afya anayetaka kuwa rais afikirie mara mbili.
 
Tunahitaji rais kama magufuli,nchi hii imechoshwa na siasa na sasa inataka utendaji na vitu vionekane kwa mipango,watu wanafanya nchi kama idara ya zimamoto, nchi imekuwa na slogani nyingi,mara ari mpya,maisha bora,kilimo kwanza, big result now,mabilioni ya kikwete...magufuli hana upuuzi huo,yeye anafanya kazi japo ana mapungufu, mapungufu hayo yanafunikwa na utendaji,usimamiaji.KAMA HAMTAMPA WA MUUNGANO,NI BORA TANGANYIKA IRUDI TUTAMPA URAIS WA HUKU

Heshima yako sana Chief @Britannica
 
Mimi naweza nikataja baadhi ya sababu ulizoambiwa.
Mosi, anatoka kanda ya ziwa ambako inadaiwa kuwa ni kanda iliyoikimbia ccm 2010. Hata majimbo waliyonayo mengi waliyachakachua.
Ile hoja ya kitoto ya kidini inaweza kuwa imejificha humo
Umachachari wake inaweza kuwa sababu mojawapo
Inaweza kuwa ni mtu muhimu kuwasaidia akina nani hili kumdhibiti mtu kwa kuwa kanda ya ziwa ina watu wengi. Nawaza tu shemeji yangu pasco

...
 
Nyerere mpaka leo watu wanaandika vitabu na kumjadili.

Ukitaka uachwe usijadiliwe, usigombee uongozi wa umma.

Ukigombea uongozi wa umma watu watakujadili maelfu na maelfu ya miaka.
Akina HITLER ,STALIN,MOBUTU,IDDI AMIN Hadi kesho watajadiliwa seuzi mwendazake .

Huo ndio muendelezo wa udikteta uchwara Hadi wa wafuasi wake

Shida Sana yaani

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Kuna tofauti kati ya Wazungu na sisi Waafrika. Kiafrika mtu akifa na kuzikwa anaachwa apumzike, hata kumzungumza kwa ubaya hairuhusiwi ila mazuri na mema yake ndio yanazungumzwa. Kwa vile ni jana tuu amepumzishwa, mwili bado ni mbichi kabisa, give time watu wapoe poe machungu ya msiba.
P
Hizo Mila zenu za kiafrika ndio zimetufikisha hapa na zimechangia pa kubwa Sana usimikaji wa utawala uoe kiimla .

Tutasema Kama yatupasa kusema Mila zenu mnazotaka tuzizingatie Ni outdated version.

Bila chembe ya unafiki tutasema ukweli daima

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Tulia mzee kaa kwa kutlia ....kuimba kupokezana[emoji16][emoji16]
Nadhani baada ya JPM, kupumzishwa rasmi kwenye nyumba yake ya milele, ni busara akiachwa apumzike kwa amani na wastaafu wakaachwa wastaafu kwa amani.
RIP Dr. John Pombe Joseph Magufuli.
P
20210328_153143.jpg
20210328_151856.jpg
20210328_151902.jpg
20210328_163559.jpg
Screenshot_20210328-131009.jpg
 
the reasons behind, sababu alizonitajia kada huyu za why mgombea wa CCM mwakani ni Magufuli, ambazo ndizo zimepelekea the inner core ya CCM kuamua mgombea wake wa urais wa 2015 ni lazima awe John Pombe Magufuli tuu, and no one else!.
Wakuu

Historia ya nchi ina mapito mengi sana mapito mazuri na mapito mabaya, lakini ilikuaje kama nchi tukapata viongozi aina ya watu waliotajwa hapo juu,

Najaribu kuwaza nashindwa kupata jibu ilitokea nini hadi tukaongozwa na watu wa kariba hiyo natamani vizazi vijavyo visipate kufahamu historia za viongozi wa aina hiyo yaani wasikumbukwe kwa lolote kabisa maana ukihadithiwa ukweli unaweza kujikuta unaanza kulia kwa uchungu jinsi walivotuongoza hawa waliotajwa hapo juu.

Nauliza ilikuaje wakawa viongozi?
Mkuu Arovera, karibu mitaa hii, utayapata baadhi ya majibu ya maswali yako.
P
 
Lengo la Inner circle ya ccm kumleta jpm ilikuwa ni kuharibu,kuvuruga kabisa nchi na watu wake ili watz tukumbuke Zile tawala za nyuma ambazo tuliziita Dhaifu!!Pia lengo lilikuwa kuua upinzani ambao ulikita mizizi sana awamu ya nne!!Ilibidi kichaa apewe rungu ili avuruge mambo yote tupate hamu ya ccm ya wastaafu!!wastaafu walitaka kujisafisha kwa kutuletea mtu mbaya aliekata tamaa ambae hakuwa na la kupoteza kwani tayari alijua hana maisha marefu!!Rip jpm!!!
 
Wanabodi,

Leo nimekutana na rafiki yangu wa siku nyingi akanieleza seriously kuwa imeishaamuliwa (sitaji imeamuliwa na nani), kuwa mgombea wa urais wa mwaka 2015 kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi-CCM ni Mhe. John Pombe Magufuli!.

Paskali
Kumbe kama kuna mambo makubwa aliyasema na yakatokea
Kumbuka hata biblia imesema Yesu atarudi, hadi sasa ni miaka 2000+ hajaonekana ila bado watu wanaamini na kuifuata.

Sijui wewe unayepi ya maana umeyasema na yakatokea yote hapo hapo? Pascal Mayalla
Mkuu Nzwangendaba, kwanza hongera kwa jina zuri, linafanana na yule kiongozi wa Wangoni kutoka Africa Kusini kuja kuhamia Tanzania, Zongendamba.

Karibu mitaa hii, angalia tuu tarehe ya bandiko ni la lini na nini kilikuja kutokea.
P
 
Back
Top Bottom