Mgomo mkubwa chuo kikuu cha udom kesho watangazwa

mimi nadhani wewe ndo umetumwa uwakashifu wanafunzi wa udom, unataka kuniambia mkuu wa chuo hana yaarifa na hali ya udom upande wa boom usikivu gani unao usema? na huko kwa pm wataenda kwa kibari cha nani? au bado hujui bureaucratic procrdures unjifanya unamsafisha mkuu wako kwa kumpaka mitope! kwan udom wanatofauti gani na udsm,sauti,na wengine?jitambue wewe ni nani na unafanya nini kwa faida yako na taifa, hayo ndo mawazo ya kutumika kwa vijana design yako. wasaidie kuyafita suluhu sio kuwatisha,unapenda wanavyokuwa na scandal za ngono?
 
wape route sio kuzenguazengua tu bila sababu ya msingi. sema wafanye ndo wanaendelea kujiuza hivyo au inadhani wapo kwa mama wanaweza kupewa bure hapo? toa maoni lakoni na alternative muhimu ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…