Mgomo unanukia chuo kikuu huria

Mgomo unanukia chuo kikuu huria

MADORO

Senior Member
Joined
Nov 12, 2011
Posts
198
Reaction score
117
Wanafunzi wa Chuo Kikuu huria cha Tanzania Makao Makuu, Kinondoni Dar es salaam, wameziba mlango wa kutokea wa block D, ambayo yaonekana ndilo jengo la utawala wanadai mikopo, wanasema hawaondoki mlangoni mpaka kieleweke. Viongozi wanaohusika na jambo hilo wamefika kuongea nao lakini walikuwa wanatoa majibu mepesi, hivyo wanafunzi wapo kimtazamo wa kuanzisha timbwili. Nimeondoka pale walio karibu waendelee kutujuza. Ila hadi naondoka FFU hawakuwepo ila mgambo wa Chuo walikuwa wanalinda viongozi.
 
Hao nao kumbe huwa wanalambwa boom?
 
Back
Top Bottom