Mgomo unaoendelea Kariakoo ni economic sabotage

Mgomo unaoendelea Kariakoo ni economic sabotage

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Kama PM ameenda kuongea na nyie wafanyabiashara na mkaahidi kufungua maduka, Leo mnakusanyanya makundi kwa makundi kuhamasisha wapenda aman wasifungue maduka na atakayefungua atakiona cha moto, ni sawa na uhujumu uchumi.

Serikali ichukue hatua, hawa watu wakat wa Magufuli walinywea iweje ss hv wamerudi kwa kasi ya ajabu kufanya migomo ya kijinga namna hii, intellejinsia iwakamate wale bigwigs iwafungulie kesi za uhujumu uchumi, huko tulishavuka zamani.
 
Kodi amtaki kulipa duh ata mimi ndo rais sasa ntakuchekea usilipe. Hapo kamata mmoja wa kuonesha mfano
 
Kama PM ameenda kuongea na nyie wafanyabiashara na mkaahidi kufungua maduka, Leo mnakusanyanya makundi kwa makundi kuhamasisha wapenda aman wasifungue maduka na atakayefungua atakiona cha moto, ni sawa na uhujumu uchumi.

Serikali ichukue hatua, hawa watu wakat wa Magufuli walinywea iweje ss hv wamerudi kwa kasi ya ajabu kufanya migomo ya kijinga namna hii, intellejinsia iwakamate wale bigwigs iwafungulie kesi za uhujumu uchumi, huko tulishavuka zamani
Kama utakua sio mwajiliwa mwenye mshahara wa tgsb basi unaishi kwa shemeji yako huna biashara yeyote hulipi hata bili ya maji, kwa mtu anayeuza hata maji na sigara za kutembeza asingeandika upumbavu huu.
 
Anyakuliwe mmoja mmoja na kufichwa, ni dharau hiyo.Mkuu wa shughuli za Serikali Bungeni anaacha kazi anakuja mnaongea na mnahaidi kuendlea na majadiliano alafu mnamgeuka! Ni uhaini wa kiuchumi huo.
 
Kama PM ameenda kuongea na nyie wafanyabiashara na mkaahidi kufungua maduka, Leo mnakusanyanya makundi kwa makundi kuhamasisha wapenda aman wasifungue maduka na atakayefungua atakiona cha moto, ni sawa na uhujumu uchumi.

Serikali ichukue hatua, hawa watu wakat wa Magufuli walinywea iweje ss hv wamerudi kwa kasi ya ajabu kufanya migomo ya kijinga namna hii, intellejinsia iwakamate wale bigwigs iwafungulie kesi za uhujumu uchumi, huko tulishavuka zamani
nakuona magufuli unakazia pale uliposhia, mabavu nguvu na chuki sio njia nzuri kama taifa
 
Anyakuliwe mmoja mmoja na kufichwa, ni dharau hiyo.Mkuu wa shughuli za Serikali Bungeni anaacha kazi anakuja mnaongea na mnahaidi kuendlea na majadiliano alafu mnamgeuka! Ni uhaini wa kiuchumi huo.

Mkuu wa shughuli za serikali kwenye bunge la majizi ya kura ana impact gani boss.
 
Kwa mfano ndio ungekuwa ww kiongozi wa soko la kariakoo unapewa maik mbele ya yale mapolis pale yanakutazama kwa uchu ungeendelea kuamasisha mgomo?
 
Ni kutafuta tu kiini cha mgogoro, kama ni kigogo wa TRA na kauli yake "unanijua mimi ni nani" apigwe chini na adhabu kali .
 
Kama PM ameenda kuongea na nyie wafanyabiashara na mkaahidi kufungua maduka, Leo mnakusanyanya makundi kwa makundi kuhamasisha wapenda aman wasifungue maduka na atakayefungua atakiona cha moto, ni sawa na uhujumu uchumi.

Serikali ichukue hatua, hawa watu wakat wa Magufuli walinywea iweje ss hv wamerudi kwa kasi ya ajabu kufanya migomo ya kijinga namna hii, intellejinsia iwakamate wale bigwigs iwafungulie kesi za uhujumu uchumi, huko tulishavuka zamani
Kama kuna economic sabotage, serikali yenyewe ndiyo inajifanyia sabotage kwa kutofuata "The Arthur Laffer Curve" katika kodi.

 
Serikali itumie weledi kuwabaini wahusika wa huu mgomo...
 
Wanataka haka kahela kangu nikatumie nikose hato hio tisheti🥲
 
Kwani kwa magufuli kulikuwa na jambo gani mpaka watu wagome kufanya biashara!!!?? zile ni propaganda tuu za wahuni wachache.hakuna kipindi kilikuwa kizuri kufanya biashara kama kipindi cha jpm aswa kama ulikuwa ni mlipa kodi mzuri.
Kipindi cha jpm taratibu za serekali zilikuwa zinafuatwa tofauti na sasa urasimu na rushwa vimeshika kasi.
 
Kama PM ameenda kuongea na nyie wafanyabiashara na mkaahidi kufungua maduka, Leo mnakusanyanya makundi kwa makundi kuhamasisha wapenda aman wasifungue maduka na atakayefungua atakiona cha moto, ni sawa na uhujumu uchumi.

Serikali ichukue hatua, hawa watu wakat wa Magufuli walinywea iweje ss hv wamerudi kwa kasi ya ajabu kufanya migomo ya kijinga namna hii, intellejinsia iwakamate wale bigwigs iwafungulie kesi za uhujumu uchumi, huko tulishavuka zamani
Yah right. Intelligence ya maPOLICCM ni kwa ajili ya wapinzani tu. Ilikuwa je washindwe kujua hili kabla.

Tunaposema Katiba mpya watu huwa hawauelewi...... ELIMU, ELIMU, ELIMU.
 
Back
Top Bottom