Lile lindi la migomo vyuoni linaendelea. Leo chuo Kikuu cha St. Johns (zamnia Mazengo secondari) kimefungwa baada ya kuwa na mgomo baridi kwa muda sasa. Kimefungwa hadi tarehe 2/1/2012.
Source: ITV Breaking News!
Nadhani itakuwa ni likizo tu hiyo ya kiujanjaujanja, haiwezekani chuo kifungwe wiki mbili tu kwa ajili ya mgomo!!
ungependa kifungwe siku ngapi?
ungependa kifungwe siku ngapi?