Mgomo wa magari

Mgomo wa magari

MKALI WA MAMBO

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2018
Posts
211
Reaction score
146
Huu mgomo wa magari jana uliathiri wakina Dada sana . Mmoja alitaka kupanda kwenye Gari na kukutana na kondakta mlangoni.
Kondakta. Hai bebi
Dada. Hi niambie
Kondakta. Hai bebi
Dada. We konda vip kwani kazi yako ni kusalimia watu huna kazi nyingine
Kondakta. Pumbavu wewe nakwambia gari Haibebi au umepagawa.
 
Huu mgomo wa magari jana uliathiri wakina Dada sana . Mmoja alitaka kupanda kwenye Gari na kukutana na kondakta mlangoni.
Kondakta. Hai bebi
Dada. Hi niambie
Kondakta. Hai bebi
Dada. We konda vip kwani kazi yako ni kusalimia watu huna kazi nyingine
Kondakta. Pumbavu wewe nakwambia gari Haibebi au umepagawa.
aiseee looh konda katisha
 
Back
Top Bottom