Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Wafanyakazi mnateseka sana isee. Mshahara ukitoka tu tar 23 baada ya wiki mnahaha kukopa madukani na kwenye baa.
Mnatakiwa kupinga kodi na tozo za hovyo kwa kugoma ili serikali iwasikilizie kama wafanyabiashara wa kariakoo.
Wafanyabiashara nyie ndio mnaumia kila siku. Tozo na kodi kibao. Mbaya zaidi pesa zinaliwa na wanaCCM wachache.
Watanzania kwa ujumla wanatakiwa wagome. Maana migomo ndio suluhu ya serikali fisadi na kandamizi.
Mnatakiwa kupinga kodi na tozo za hovyo kwa kugoma ili serikali iwasikilizie kama wafanyabiashara wa kariakoo.
Wafanyabiashara nyie ndio mnaumia kila siku. Tozo na kodi kibao. Mbaya zaidi pesa zinaliwa na wanaCCM wachache.
Watanzania kwa ujumla wanatakiwa wagome. Maana migomo ndio suluhu ya serikali fisadi na kandamizi.