ngakotecture
JF-Expert Member
- Dec 30, 2014
- 2,569
- 2,847
Marinda yako wazi wewe ndo mana unaropoka upuuz ngorongoro yako ina impact gani ya moja kwa moja kwa adha wanayoipata wananchi kisa ignorant ya gvt na wapuuz wachache wasio na marinda kama wewe.Ona hili punga,msijipe umuhimu ambao hamna,hapo Mkoa wa Kodi wa Kariakoo unakusanya less than 150bln Kwa mwaka,yaani Ngorongoro ni muhimu kushinda Hilo Gulio.
So acha ujinga,fungeni hata mwaka muone kama Nchi itasimama.
Huna hoja wewe mbumbumbu nyumbuMarinda yako wazi wewe ndo mana unaropoka upuuz ngorongoro yako ina impact gani ya moja kwa moja kwa adha wanayoipata wananchi kisa ignorant ya gvt na wapuuz wachache wasio na marinda kama wewe.
Bora ulivoamua kubadili mada kwa maana tunawajua mnaonufaika na mfumo hua hamna point za maana marindaless mkubwa we sasa subir dukani kwa mangi[retailers] wako unga na sukari ukose alafu uende kiwandani ukanunue sukari,chumvi,unga,na bikini zako.Huna hoja wewe mbumbumbu nyumbu
Wewe,unamtusi "wakili-kituko" wa CCM?😂Bora ulivoamua kubadili mada kwa maana tunawajua mnaonufaika na mfumo hua hamna point za maana marindaless mkubwa we sasa subir dukani kwa mangi wako unga na sukari ukose alafu uende kiwandani ukanunue sukari,chumvi,unga,na bikini zako.
Amna mkuu matusi kaanza yeye unajua hakuna kitu kibaya kama kumzarau mtu angeleta hoja ingekuwa poa sio matusi na dharau.Wewe,unamtusi "wakili-kituko" wa CCM?😂
Sameheaneni.Amna mkuu matusi kaanza yeye unajua hakuna kitu kibaya kama kumzarau mtu angeleta hoja ingekuwa poa sio matusi na dharau.
Wewe unanufaika na mfumo gani? Mimi sikai huku tunalima na kusaga kwenye mashine hatununui msosi dukani sawa wewe punguani mwenye njaa wa huko Dar? 🤣🤣🤣Bora ulivoamua kubadili mada kwa maana tunawajua mnaonufaika na mfumo hua hamna point za maana marindaless mkubwa we sasa subir dukani kwa mangi[retailers] wako unga na sukari ukose alafu uende kiwandani ukanunue sukari,chumvi,unga,na bikini zako.
Simjibu tena mkuu but yeye ndo alianza kuniita boya.Sameheaneni.
Mkuu umeyumba sana na hoja zako ni dhaifu sana. Nyamaza tu.Wewe unanufaika na mfumo gani? Mimi sikai huku tunalima na kusaga kwenye mashine hatununui msosi dukani sawa wewe punguani mwenye njaa wa huko Dar? 🤣🤣🤣