Mkurya mweupe
JF-Expert Member
- Aug 10, 2023
- 239
- 817
Musukuma ni Mbunge wa Geita Vijijini,Huko ndiyo jimboni kwa Msukuma?
Wala usisingizie mabeberu the issue is very clear watu wamechoka Hali ngumu ya maisha. Kenya wanalipa na Kodi na Tz ni Kodi Wala hili sio jambo lililopangwa ni kwamba watu wamechoka tuHii ishu iko ki mkakati sana tofauti na watu wengi wanavyodhani.
Sasa hivi dunia yote ni ya moto, ukienda Kenya maandamano, ukija bongo mgomo,ukiangalia pale kati yukrein pamewaka, ukichunguza kidogo unamuona putin yupo na kiduku mpaka wanaendeshana kwenye limousine ,ukimcheki mchina anaitaka Taiwan πΉπΌ huku siasa za chuki zinahubiriwa kuhusu muungano.
Muda huu majasusi wengi wapo kazini, hii ni vita ya dunia ndio inapiganwa tactically , haya mambo hayatokei kwa bahati mbaya, sijui mapinduzi Burkina π§π« sio kwamba yametokea bahati mbaya, kuna watu wamekaa wanacheza na dunia kama vile wanacheza draft.
Ni kama vile Russia π·πΊ labda huwaambia nato,mkimpa yukrein silaha mie natengeneza machafuko kwa nchi washirika wako halafu ninawapa options za kuja kujiunga upande wangu.
Ndio maana mnaona dunia imechangamka kama mdomo uliokula pilipili, hakuna sehemu inapoa, leo huku hivi kesho kule vile.
Hawa jamaa wanazicheza vita zao kwenye nchi zetu(kama watu anavyocheza draft) na ni kitu rahisi sana kwao.
Wanajua na minds zetu,wanajua watanzania kwa maandamano ni wagumu, hawa tunawapa bomb la muungano very complicated.
umefurahii sana kamanda.safi sana
jamani kanda ya ziwa c ni juzi tu alois nyanda aliandaa mdahalo wa mama mafiga matatu kwamba mama anaupiga mwingi kumbe wanamchora tu safi sana akina muraMgomo wa wafanyabiashara ulioanzia ,Kariakoo Dar ,leo wafanyabiashara wa Katoro Geita wameunga mkono ambapo maduka yote hasa ya soko la Kariakoo la jumla Katoro Geita yamefungwa yote ,hakuna huduma yoyote ,ni muda wa viongozi Sasa kujitathmini ,maana japo watanzania tunasifika kwa woga Ila movement huwa zinaanza hv taratibu ,sikutegemea hata kuona mkoa wenye watu waoga wengi wanafunga maduka kiasi hiki ,ni muda wa serikali kujitathmini , movement huwa zinaanza hv ,uoga utafika mwisho.
Hii siyo migomo ya kisiasa boss. Hakuna chama kinapiganiwa, wafanyabiashara hawajagoma kisiasa. Ukiingiza siasa unatengeneza mazingira magumu mno ya kutatua huu mgogoro.sitaki kuamini kama we approaching turning point ya uoga ila sipuuzi migomo ya wafanya biashara. inaweza kisaidia kuna siku itafika wananchi wote wataikataa serikali, nchi itakuwa haitawaliki Serikali ya CCM itaanguka.
Uchaguzi sijui katiba mpya ni kupoteza muda tu, CCM haitatoka madarakani kwa kufuata utaratibu.
siasa ndo chanzo cha matatizo yote,Hii siyo migomo ya kisiasa boss. Hakuna chama kinapiganiwa, wafanyabiashara hawajagoma kisiasa. Ukiingiza siasa unatengeneza mazingira magumu mno ya kutatua huu mgogoro.
Sera na Sheria zetu pamoja na rushwa na ufisadi ndo chanzo cha matatizo yote.siasa ndo chanzo cha matatizo yote,
πππ mkuu umefika mbali zaidi hata ya hiyo urusi na us.Hii ishu iko ki mkakati sana tofauti na watu wengi wanavyodhani.
Sasa hivi dunia yote ni ya moto, ukienda Kenya maandamano, ukija bongo mgomo,ukiangalia pale kati yukrein pamewaka, ukichunguza kidogo unamuona putin yupo na kiduku mpaka wanaendeshana kwenye limousine ,ukimcheki mchina anaitaka Taiwan πΉπΌ huku siasa za chuki zinahubiriwa kuhusu muungano.
Muda huu majasusi wengi wapo kazini, hii ni vita ya dunia ndio inapiganwa tactically , haya mambo hayatokei kwa bahati mbaya, sijui mapinduzi Burkina π§π« sio kwamba yametokea bahati mbaya, kuna watu wamekaa wanacheza na dunia kama vile wanacheza draft.
Ni kama vile Russia π·πΊ labda huwaambia nato,mkimpa yukrein silaha mie natengeneza machafuko kwa nchi washirika wako halafu ninawapa options za kuja kujiunga upande wangu.
Ndio maana mnaona dunia imechangamka kama mdomo uliokula pilipili, hakuna sehemu inapoa, leo huku hivi kesho kule vile.
Hawa jamaa wanazicheza vita zao kwenye nchi zetu(kama watu anavyocheza draft) na ni kitu rahisi sana kwao.
Wanajua na minds zetu,wanajua watanzania kwa maandamano ni wagumu, hawa tunawapa bomb la muungano very complicated.