Mgomo wa wafanyabiashara wahamia Katoro,Geita.

Mgomo wa wafanyabiashara wahamia Katoro,Geita.

Mgomo wa wafanyabiashara ulioanzia ,Kariakoo Dar ,leo wafanyabiashara wa Katoro Geita wameunga mkono ambapo maduka yote hasa ya soko la Kariakoo la jumla Katoro Geita yamefungwa yote ,hakuna huduma yoyote ,ni muda wa viongozi Sasa kujitathmini ,maana japo watanzania tunasifika kwa woga Ila movement huwa zinaanza hv taratibu ,sikutegemea hata kuona mkoa wenye watu waoga wengi wanafunga maduka kiasi hiki ,ni muda wa serikali kujitathmini , movement huwa zinaanza hv ,uoga utafika mwisho.
Mkurya mweupeeeeeeee.
Ni karatasi au chokaa?
 
Sijawahi kuona Katoro mgomo unawin kiasi hiki hadi soko la ccm wamefunga maduka ,machinga ndo wamefungua tu
 
Chura yy ndio tatizo la kwanza.unao waongoza utaki kuwackiliza mafisadi wenzio unawackiliza.
Endelea tu kuziba mackio sw.




KAZI ni kipimo cha UTU
Chura kiziwi hajielewi..anahitaji KASHI KASHI kama hizi
 
Hapa ni soko la ccm ,Katoro Geita na penyewe wamegoma wakabaki machinga wa barabarani
 

Attachments

  • IMG_20240626_131333_630.jpg
    IMG_20240626_131333_630.jpg
    4.8 MB · Views: 2
Mgomo soko la Kariakoo ,Katoro ,Geita ,umeendelea siku ya pili leo
 
Back
Top Bottom