Mgomo wa wafanyabiashara wahamia Katoro,Geita.

Mkurya mweupeeeeeeee.
Ni karatasi au chokaa?
 
Sijawahi kuona Katoro mgomo unawin kiasi hiki hadi soko la ccm wamefunga maduka ,machinga ndo wamefungua tu
 
Chura yy ndio tatizo la kwanza.unao waongoza utaki kuwackiliza mafisadi wenzio unawackiliza.
Endelea tu kuziba mackio sw.




KAZI ni kipimo cha UTU
Chura kiziwi hajielewi..anahitaji KASHI KASHI kama hizi
 
Hapa ni soko la ccm ,Katoro Geita na penyewe wamegoma wakabaki machinga wa barabarani
 

Attachments

  • IMG_20240626_131333_630.jpg
    4.8 MB · Views: 2
Mgomo soko la Kariakoo ,Katoro ,Geita ,umeendelea siku ya pili leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…