themagainst
Member
- Feb 28, 2011
- 51
- 11
kwani jeshi linagoma lini? Au tarehe hiyo hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani jeshi linagoma lini? Au tarehe hiyo hiyo
dili ni kuanza kununua silaha nzito nzito za kujihami!
Nilidhani mmeshaandamana kumbe mtaandamana? Lini? Au ku-post hapa ndio maandamano menyewe? Watz kwa porojo? Nyie tulieni mkamuliwe vizuri hadi pale akili zitakapowarudia. Namshukuru Mungu sipo kwenye hiyo nchi ya Wadanganyika! Kha! Full Sanaa, si Rais, Wabunge, Majaji, Wanausalama, Wananchi wote ni Ze Comedy tupu! Watz wote ni wasanii!
muanzishaji nani? huyo anayejitolea kumfunga paka kengele nani?Wa-tz tuaje porojo jamani kwanin tusiingie barabarani tu,mambo ya kusubiria miongozo ya ssra ni ungese mtupu,tar 15 ni mbali sana!! Paye ni nyingi sana wanayochukua na ndio maana watu hatutaki kuajiriwa mda wote maana tunawafaidisha wauza nguzo za afrika kusini ya kichina(iringa) na wauza vipuli (misumali) na wachumia tumbo(wabunge wala rushwa),Fao la kujitoa ndio kaburi la ccm!!
Sasa maneno hayo kwenye bold ndio lugha gani mkuu? Si nimeshasema Watz mlivyo wasanii? Yaani unajidai ku-comment hata kuandika Kiswahili huwezi? Na bado wazazi wako wanajivunia kuwa na mtoto kama wewe? Siamini, labda huenda wamekufa vinginevyo kama wangekuwa bado hai wangekukana LIVE!Wewe ni mngese sana yani una kichwa ila kufikiri huwezi, na aliyekuzaa alipoteza nguvu bure mana hujitambui...
Nasikia harufu ya damu...sichochei vurugu ila naona vurugu inakuja TZ yaweza geuka Rwanda..sijui..siamini, muulizeni rais Kiwete
Wa-tz tuaje porojo jamani kwanin tusiingie barabarani tu,mambo ya kusubiria miongozo ya ssra ni ungese mtupu,tar 15 ni mbali sana!! Paye ni nyingi sana wanayochukua na ndio maana watu hatutaki kuajiriwa mda wote maana tunawafaidisha wauza nguzo za afrika kusini ya kichina(iringa) na wauza vipuli (misumali) na wachumia tumbo(wabunge wala rushwa),Fao la kujitoa ndio kaburi la ccm!!