MGOMO WA WAFANYAKAZI WOTE TAREHE 15.08.2012 Mgaya kufunguka

MGOMO WA WAFANYAKAZI WOTE TAREHE 15.08.2012 Mgaya kufunguka

dili ni kuanza kununua silaha nzito nzito za kujihami!

Unajihami na nani? We nadhani nchi hii haikufai nenda somalia utaishi kwa raha mustarehe. Hakuna mwenye akili timamu anayeomba vurugu ndani ya nchi yake. Jaribu kutumia muda wako angalau wa nusu saa kuangalia taarifa za habari uone kinachoendelea nchi zenye vurugu
 
Nilidhani mmeshaandamana kumbe mtaandamana? Lini? Au ku-post hapa ndio maandamano menyewe? Watz kwa porojo? Nyie tulieni mkamuliwe vizuri hadi pale akili zitakapowarudia. Namshukuru Mungu sipo kwenye hiyo nchi ya Wadanganyika! Kha! Full Sanaa, si Rais, Wabunge, Majaji, Wanausalama, Wananchi wote ni Ze Comedy tupu! Watz wote ni wasanii!


Wewe ni mngese sana yani una kichwa ila kufikiri huwezi, na aliyekuzaa alipoteza nguvu bure mana hujitambui...
 
Wa-tz tuaje porojo jamani kwanin tusiingie barabarani tu,mambo ya kusubiria miongozo ya ssra ni ungese mtupu,tar 15 ni mbali sana!! Paye ni nyingi sana wanayochukua na ndio maana watu hatutaki kuajiriwa mda wote maana tunawafaidisha wauza nguzo za afrika kusini ya kichina(iringa) na wauza vipuli (misumali) na wachumia tumbo(wabunge wala rushwa),Fao la kujitoa ndio kaburi la ccm!!
muanzishaji nani? huyo anayejitolea kumfunga paka kengele nani?
 
Wewe ni mngese sana yani una kichwa ila kufikiri huwezi, na aliyekuzaa alipoteza nguvu bure mana hujitambui...
Sasa maneno hayo kwenye bold ndio lugha gani mkuu? Si nimeshasema Watz mlivyo wasanii? Yaani unajidai ku-comment hata kuandika Kiswahili huwezi? Na bado wazazi wako wanajivunia kuwa na mtoto kama wewe? Siamini, labda huenda wamekufa vinginevyo kama wangekuwa bado hai wangekukana LIVE!
 
Kwa hali hii laziama sirikali ituewe. Ni kundo hili kubwa lil;ikuwea limebaki kuonyesha makeke yake lakini leo tumeshuhudia (MGOMO WA WALIMU). Hakika woga wetu pengine ndo ulikuwa kikwazo cha mabadiliko ya nchi yetu. Nawapongeza waelimishaji kwa kuziweka haki zetu wazi na sasa mnashuhudia kazi nzuri ya KUITAFUTA TZ MPYA. Mgaya tuko nyuma yako. Naona kama trh 15 iko mbali vile
 
Watz kwanini tunalalamika sana bila kuchukua hatua? Labda hiyo ndio siri ya serikali kuendelea kupuyanga bila wasiwasi kwasababu inajua tabia yetu ya kulalamika bila vitendo.
 
Naona siku zinazidi kusogea bado wiki mbili tumewapa muda wa kutosha kuja na majibu lakini wanatudharau
 
Wa-tz tuaje porojo jamani kwanin tusiingie barabarani tu,mambo ya kusubiria miongozo ya ssra ni ungese mtupu,tar 15 ni mbali sana!! Paye ni nyingi sana wanayochukua na ndio maana watu hatutaki kuajiriwa mda wote maana tunawafaidisha wauza nguzo za afrika kusini ya kichina(iringa) na wauza vipuli (misumali) na wachumia tumbo(wabunge wala rushwa),Fao la kujitoa ndio kaburi la ccm!!

kwanza kile kibinti cha SSRA sijui eti ndo director sijui kilipataje huo u director yaani ni lazima kilipewa contract super kitasa guest..yaani hajui hata anachoongea ..eti tutakopesa wanachama nyumba...?nani anataka nyumba?watu tuna ma jumba ya ukweeehe kinyerezi hatusubiri huo uchafu wa NHC sijui ...hovyo kabisa ..Dau unalia futari hela zetu za michango eeeh sasa siburi uone
 
Back
Top Bottom