Mgomo wa Wahadhiri na Wanafunzi UDOM 2011

Hana hoja ana majibu ya kisiasa tu huyo solidality iko palepale hasa kwa wahadhiri.
 
Issue ya kutokuwepo kwa semina kwa baadhi ya kozi siyo issue ya msingi. Mwalimu anweza kuvunja semina akazigawa marks kwenye assignment nyingine kufuatana na mazingira yenyewe labda hayo madai mengine yatakua ya msingi.
 


hapo kwenye red kikula anaongea tu lakini anajua wazi hakuna pa kutokea wahadhiri wamewashika pabaya hiyo ni kauli ya mfa maji.....
 
Nilisoma taarifa ya UDOMASA,hapahapa jf,inaonyesha watumish wa udom ni vibarua,halaf ni taasis inayoendshwa kibabe haswa,msomi mwenye taaluma amegeuka m2mwa?ah!WHO Z MLACHA?yani ye ndo anasumbua vjana wasisome,kama chuo hakikua tayari mlikianzishia nini,kama c vherehere?
 
hapo kwenye red kikula anaongea tu lakini anajua wazi hakuna pa kutokea wahadhiri wamewashika pabaya hiyo ni kauli ya mfa maji.....

Hivi inawezekana kweli kikula ameshiriki kwenye kula hizo fedha?
 
Mi binafsi ctegemei solution kutoka kwa mzee pinda. Jamaa ni mwoga kufanya maamuzi na kama atathubutu basi yatakuwa kipolitics zaidi. Mtoto wa mkulima ana uzalendo WENye kutiliwa mashaka coz usalendo sio kuöngea2 na kulia michozi. Vitendo vinahusika sana! 2mckilizie lakn..,
 
Hapana kaka cha kukueleza ni kwamba pinda kweli kaja na muda wa saa nane alikuwa hapa social science na kuelekea medicine kukagua majengo huku akiwasaliti college ya education na kuwapita barabarani lakini nikueleze kuwa wanafunzi hao waliweka mawe makubwa njiani katika kuhakikisha kuwa wanampata pinda lakini akala kona na wakafanikiwa kumteka mkuu wa wilaya na vigogo wengine ambao hadi sasa wapo wanawaimbia na kusisitiza kuwa hawataachiwa had pinda je kuwanusuru.mkuu wa mkoa dr,engineee msekela ambaye anachukiwa sana na wanafunzi wa udom kwa kuamuru wapigwe mabomu katika mgomo wao wa hivi karibuni alionja joto ya jiwe baada ya wananfunzi kulala mbele ya gari yake hapa social science na kumzomea akiwa karibu kabisa na mlacha ambaye wanafuzi wameendelea kumwimbia waziri mkuu kuwa lazima aondoke na mlacha ampelekee kikwete akamwajiri kukaa mapokezi ikulu ndogo ya chamwino.
 

Hili tatizo linakuwa ni la kifamilia sasa itabidi kikwete amuondoe tu huyo jamaa mie nadhani ndio solution hali itatulia kidogo then suala la waalimu nadhani wakikaa nao linasolvika ila hawa wahusika ingekuwa vizuri sana wangetangazwa kwenye vyombo vya habari tukawajua ili wasiweze kuajiliwa tena mahala popote pale sababu ni wezi wameiba mishahara ya waalimu kweli inauma ila mkuu wa nchi nae amekaa kimya sana tunashangaa kwanini kawa kimya hivi?
 

Hili jamvi nahisi limeingiliwa. Great thinkers are no more thinking. Ni Matusi kwenda mbele
 


Hii ni ukweli kabisa.
Mie binafsi sioni kama kuna hatua au hata tamko lolote la maana kutoka kwa Pinda. Huyu mheshimiwa yupo tu kama picha ya ukutani. Sijui ni nani amemwambia asitumie mamlaka yake.

Wasomi wa UDOM, nafikiri hatua ya kumleta Pinda mnaweza kuijutia. Ikumbukwe yeye ni top top authority. akiwaambia mrudi kazini msubiri uchunguzi sijui mtafanyaje...??
 
Wadau mpaka sasa hali ni tete toka alivyokuja Pinda, haijulikani nini kinaendela, ila bado watu wanamsubiri hapa chimwaga
 
Kwa upande wa CoED wameshapindua uongozi wao wa UDOSO na hawako tayari kusitisha mgomo.
 
kama sinema vile pinda amefika udom na ving'ora vyake kwenye ukumbi ili aongee na wahadhiri wa udom kuhausu mgomo wao wahadhiri wamegoma kuingia kuongea naye wanamtaka rais sio pm kuona hivyo pinda akajinda kwenda kuongea na serikali ya wanachuo hali wanachuo waliisha kubaliana kuwa aongee na wanachuo wote basi wakati pinda anaongea na viongozi huku wanachuo wakakutana na kuwang'oa madarakani haraka wakasimika serikali mpya wakamwapisha rais mpya na mawaziri wapya hapo patamu serikali yetu imechanganyikiwa huku makamba yuko arusha,mbeya kunafukuta.kila kona ya nchi yetu wananchi wameivimbia serikali naona ya tunisia yanakaribia DOWANS,ARUSHA,UDOM.KATIBA.UDSM nasikia j3 wanaanza kugoma,IRINGA,KIU sasa wameelemewa
 
tunashukuru kuja ila isitumike siasa katika kutatua matatizo yetu sisi wanafunzi.
 
Waliomba wenyewe kuwa viongozi na wanalipwa mshahara. ach wapate shida. usanii umewazidi.
 
Tupe yaliyojiri UDOM baada ya pinda kukataliwa kuongea nao.....nini kimejiri zaidi??
 
Mbona thread nyingine inasema wahadhiri walimsubiri chimwaga lakini pinda akachelewa na kuomba radhi na kuwataka wakutane kesho sa tano?????? wewe unasema wamegoma kuongea nae sasa tuamini lipi?????????????
 
Mtoa mada naona hayuko kwenye eneo la tukio, au anatoa mada hii makusudi kuchanganya watu, itapendeza kama atarudi hapa kufafanua zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…