Wamemgomea nani.....??? JK waliyemchangia kuchukuwa fomu au .......... au ................. au ......... mi siwaelewi.....ni bora ile milioni mgewapa hao waleta maji ili wawaletee maji....................thatha mtakunywa na kuoga jeuri yenuChuo kikuu cha Dodoma katika college ya Sayansi ya jamii(College of Social Science and Humanities) wamegoma kwa sababu hakuna huduma ya maji hapo chuoni kwao pia wanadai waruhusiwe kufanya Field,maana chuo kimewaambie hawatafanya field bila maelezo ya kutosha.....hadi mda huu njia ya kuelekea chuoni imefungwa na magari hayaruhusiwi kuingia wala kutoka chuoni hapo.
Nafurahi kweli kuona kila kitu ni chadema.
Maana kuna siku waziri kombani alisema eti chadema ndio wanacheleweshea maendeleo wananchi, nikawaza chadema ndo wana rimoti control ya na ccm wanasubiri waambiwe cha kufanya na CDM.
ANANGALAU UDOM MMEANZA KUKUA MAANA MEMBE ALIWAAIDI KUWA HATAKI KUONA HOJA YA MIKOPO INAFANYWA AJENDA NA WAVAA MAGWANDA MKASHANGILIA.
Na bado,Salaam wana JF,
kweli nimekubali mfamaji haachi kutapata, sasa watawala wa Udom na serikali wanaitaja na kuisingizia CHADEMA kwamba ndio wanachochea migomo chuoni Udom na hususani mgomo huu wa wanataaluma wa chuoni hapo.
makamu mwenyekiti wa UDOMASA (chama cha wanataaluma Udom) ametumiwa jumbe mbali mbali za kuonyesha kwamba wanatumiwa na Chadema na kwamba hawana madai ya msingi (uongo uliokithiri). Na mwanataaluma huyo alisoma hiyo sms mbele ya wantaaluma wenzake.
soma moja ya sms hii . " tunajua mnatumiwa na Chadema kufanya hayo mnayofanya". Hii ni ajabu kabisa kutapatapa badala ya kushughulikia madai yao ya msingi. M/mweyekiti huyo alisema atawapeleka mahakamani wote waliomtumia jumbe hizo na atawashitaki wathibitishe madai yao kama yanaukweli.
Sasa kila muv ya kudai haki tanzania chadema wanahusishwa hata kama hawapo kabisa kwa nini? Bt nafurahi sana kwa sababu ccm bila kujua wanaipa umaarufu Chadema kwamba hakuna haki tanzania bila Chadema.
my take,
uongozi na serikali acheni zengwe shughulikieni madai ya msingi ya wananchi acheni kuisingizia upinzani hususani Chadema.
ndg yangu ni kweli udom kwa sasa wananitia moyo sana, ila ndio hivyo chadema wanasingiziwa wapo nyuma yao kwa muv wanazofanya
craaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaapHayo madai ni madai gani? Kwa nini hao wanataaluma hawafungui kesi mahakamani ? Au wanalengo ya kuchafua jina la UDOM na mafanikio ya serikali kujenga Chuo Kikuu kizuri kwa muda mfupi tu ?
Naushauri uongozi wa UDOM uchukue hatua za kisheria dhidi ya hao wanataaluma wa UDOM wanaleta "migomo-siasa" ambayo haifuati sheria za kazi za Tanzania. Mfanyakazi ana haki ya kugoma, lakini utaratibu unaeleweka kisheria. Ninavyofahamu chama cha wanataaluma sio chama cha wafanyakazi (Trade Union) kinachoweza kuitisha mgomo. Hata kama wanataaluma wamefikia uamuzi wa kugoma lazima wafuate sheria za kazi.
Huu utamaduni wamigomo isiyofuata sheria ni kansa mbaya sana inayotafuna utawala wa sheria. Imefikia wakati sheria za kazi zitumike dhidi ya migomo-siasa na hao wanataaluma watakuwa ni mfano mzuri sana wa utawala wa sheria.
na nyinyi si mnaua basi tuuueni wooote wabaki wanenu tu! SIKILIZENI MATATIZO YA WATU KABLA YA KUFIKA KWENYE MIGOMO! HAKUNA MGOMO UNAOKUJA KAMA RADI, MIGOMO HUFANYIKA KAMA IMESHINDIKANA MAZUNGUMZO! JAMANI CCM AMKENI!!!Hayo madai ni madai gani? Kwa nini hao wanataaluma hawafungui kesi mahakamani ? Au wanalengo ya kuchafua jina la UDOM na mafanikio ya serikali kujenga Chuo Kikuu kizuri kwa muda mfupi tu ?
Naushauri uongozi wa UDOM uchukue hatua za kisheria dhidi ya hao wanataaluma wa UDOM wanaleta "migomo-siasa" ambayo haifuati sheria za kazi za Tanzania. Mfanyakazi ana haki ya kugoma, lakini utaratibu unaeleweka kisheria. Ninavyofahamu chama cha wanataaluma sio chama cha wafanyakazi (Trade Union) kinachoweza kuitisha mgomo. Hata kama wanataaluma wamefikia uamuzi wa kugoma lazima wafuate sheria za kazi.
Huu utamaduni wamigomo isiyofuata sheria ni kansa mbaya sana inayotafuna utawala wa sheria. Imefikia wakati sheria za kazi zitumike dhidi ya migomo-siasa na hao wanataaluma watakuwa ni mfano mzuri sana wa utawala wa sheria.
kama umekomaa haungalii wanachokufanyia wale wasio upande wako ni vita vya msituni type."ambaye hayupo upande wako ni adui"
nashangaa sana ndugu dr.nyaoro wa udasa umekaa kimya mbona kwenye xenophobia/chauvinism ya south africa udasa mlitoa tamko fasta
CHADEMA wasichafuliwe na migogoro ya UDOM, tatizo UDOM wamekasirika, wamekimbiza fomu za mkulu nchi nzima kipindi cha kupata wadhamini, leo mkulu kawashiti, zile ahadi zote hazijatekelezwa, mara atawapa uwakilishi kwenye NEC mara atahudumia vizuri chuo, waaaapi? ile ilikuwa danganya toto. Nao wasomi lakini hawakutafakari kuwa wanaingizwa mjini na kuachwa kwenye mataa. Nani anawajali UDOM sasa, CCM wamepata nchi, wanakula nchi yao, acha wagawane za DOWANS, za epa, kigoda, meremeta, zilishakwisha zote.
Hayo madai ni madai gani? Kwa nini hao wanataaluma hawafungui kesi mahakamani ? Au wanalengo ya kuchafua jina la UDOM na mafanikio ya serikali kujenga Chuo Kikuu kizuri kwa muda mfupi tu ?
Naushauri uongozi wa UDOM uchukue hatua za kisheria dhidi ya hao wanataaluma wa UDOM wanaleta migomo-siasa ambayo haifuati sheria za kazi za Tanzania. Mfanyakazi ana haki ya kugoma, lakini utaratibu unaeleweka kisheria. Ninavyofahamu chama cha wanataaluma sio chama cha wafanyakazi (Trade Union) kinachoweza kuitisha mgomo. Hata kama wanataaluma wamefikia uamuzi wa kugoma lazima wafuate sheria za kazi.
Huu utamaduni wamigomo isiyofuata sheria ni kansa mbaya sana inayotafuna utawala wa sheria. Imefikia wakati sheria za kazi zitumike dhidi ya migomo-siasa na hao wanataaluma watakuwa ni mfano mzuri sana wa utawala wa sheria.