Mgomo wa walimu hautakoma, tunaua watoto wetu

Mgomo wa walimu hautakoma, tunaua watoto wetu

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Baada ya serikali kupuuza kuboresha maslahi ya walimu na ukiwaona ni tabaka la wanyonge

Walimu nao wamegoma
Na mgomo haukutangazwa hadharani
Yaani wanatoa huduma duni sawa na maslahi duni wanayopewa na Serikali

1. Watoto wa shule wana muda mrefu wa kucheza tu
Yaani walimu ikifika saa 4 watoto madarasani ni makelele tu, walimu wako staff wanachambua Simba na Yanga hawana habari na kufundisha watoto

2 Vijana wa secondary wanazurula tu mjini.
Nikiwa hapo Dar Kuna shule vijana wapo tu stend wanazurula Huwa najiuliza hawa wanasoma saa ngap?
Au utashangaa saa 5 asbh mwanafunzi yupo kwenye daladala, zamani ilikuwa ajabu

4. Walimu siku hizi hawashughuliki na nidhamu za watoto
Walimu wamejikatia tamaa,
Utasikia Mimi sihangaiki na mtoto wa mtu

5.utoro
Walimu wengi hawahudhurii kazini
Huku ni kukata tamaa, Huwa wanatoa taarifa za udhuru za uongo au kutafuta hati za kutibiwa fake

Serikali boresheni maslahi ya walimu ili wapate morali ya kazi
Hapa mnauwa Taifa la kesho
 
Baada ya serikali kupuuza kuboresha maslahi ya walimu na ukiwaona ni tabaka la wanyonge

Walimu nao wamegoma
Na mgomo haukutangazwa hadharani
Yaani wanatoa huduma duni sawa na maslahi duni wanayopewa na Serikali

1. Watoto wa shule wana muda mrefu wa kucheza tu
Yaani walimu ikifika saa 4 watoto madarasani ni makelele tu, walimu wako staff wanachambua Simba na Yanga hawana habari na kufundisha watoto

2 Vijana wa secondary wanazurula tu mjini.
Nikiwa hapo Dar Kuna shule vijana wapo tu stend wanazurula Huwa najiuliza hawa wanasoma saa ngap?
Au utashangaa saa 5 asbh mwanafunzi yupo kwenye daladala, zamani ilikuwa ajabu

4. Walimu siku hizi hawashughuliki na nidhamu za watoto
Walimu wamejikatia tamaa,
Utasikia Mimi sihangaiki na mtoto wa mtu

5.utoro
Walimu wengi hawahudhurii kazini
Huku ni kukata tamaa, Huwa wanatoa taarifa za udhuru za uongo au kutafuta hati za kutibiwa fake

Serikali boresheni maslahi ya walimu ili wapate morali ya kazi
Hapa mnauwa Taifa la kesho
 
Kuna wale wanaosema shule hizo ni Bora Kwa watoto wao

Jiran yangu ni mwalim wa primary kayumba ila kwenda shule mpaka ajisikie Leo aende kesho asiende na akienda huyoooo mapema karud
 
Kuna wale wanaosema shule hizo ni Bora Kwa watoto wao

Jiran yangu ni mwalim wa primary kayumba ila kwenda shule mpaka ajisikie Leo aende kesho asiende na akienda huyoooo mapema karud
Hamna ubora huko ni takataka tu
 
Kwa hiyo wanafunzi kukutwa njiani ndiyo mgomo? Au wewe ni mpinzani umegundua walimu wanampenda Mh Sasa unataka kugombanisha?
 
Kwa hiyo wanafunzi kukutwa njiani ndiyo mgomo? Au wewe ni mpinzani umegundua walimu wanampenda Mh Sasa unataka kugombanisha?
🤣😂
Yani sa100 ndo awe mahusiano mazuri na walimu?
Walimu watamsaidia Nini Sasa?
 
🤣😂
Yani sa100 ndo awe mahusiano mazuri na walimu?
Walimu watamsaidia Nini Sasa?
Wewe Kama umeona huko ulipo kuna walimu wamefanya makosa peleka taarifa Kwa viongozi husika huko ulipo,Siyo useme walimu wapo kwenye mgomo,Mbona huku tulipo.hakuna mgomo na wanafunzi muda wote wapo shule?
 
Wewe Kama umeona huko ulipo kuna walimu wamefanya makosa peleka taarifa Kwa viongozi husika huko ulipo,Siyo useme walimu wapo kwenye mgomo,Mbona huku tulipo.hakuna mgomo na wanafunzi muda wote wapo shule?
Pole sana
 
Wafanye tu kazi kulingana na maslahi yao, wasijichoshe sana.
Mie wanangu nitapeleka private, pole kwa baadhi ya ndg zangu😭😭
 
Back
Top Bottom