Duh. Nimeingia kwa hamasa nikijua kuwa ni Bongo.
Ndugu yangu mbona umetushtua sisi wenyewe watoto wa ngumbalu! Kumbe ni majuu?!
Walimu wa Uingereza wapo kwenye MGOMO leo hii, Maelfu ya shule kufungwa na Madarasa kubakia matupu. Madai yao ni juu ya Mishahara midogo, mafao madogo na kufanya kazi kama punda.
Pamoja na umuhimu wake, kumbe kazi hii sio deal Dunia nzima. It is time now kila mtu afundishe mwanae mwenyewe. Kama ni mbwai mbwai bwana.