Mzalendo JR
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 1,193
- 515
- Thread starter
- #81
Mahenge hali ni mbaya, shule zote zamsingi za mjini walimu wamegoma. mkuu wa wilaya amemuagiza mkurugenzi wa halmashauri kutoa tangazo redio ulanga kupinga tangazo la katibu cwt (w) la kutaka mgomo uendelee na kusisitiza kwamba mgomo ni halali. Hivyo mkurugenzi ametangaza kupitia redio ulanga kwamba mgomo si halali kwa vile eti kura za kuunga mkono zilikuwa ni za siri.LAKINI TUNASEMA KWAMBA ALUTA KONTINUA!!!. MKUBWA HATISHIWI NYAU
Mbombo ngafu!