Rango anazoongeleaga Mchungaji Mwakasege?Tabia za rango zimejionesha tanzaniaView attachment 2709234
Kwani anayofanya yanatofauti gani na ya Jpm?Watu walishaugundua uwezo wa mama kitambo sana,ingawa wananchi tulichelewa kumgundua, yaani ataacha historia mbaya sana baada ya kutoka madarakani
Rango anazoongeleaga Mchungaji Mwakasege?