Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umri wako?una Watoto as Umewahi kuzaa?
Kacheki UTI
Jambo la msingi nakushauri uende Hospitali ili ukaonane na Daktari na ufanyiwe vipimo sahihi kwa wakati muafaka kabla ugonjwa haujawa sugu.
Pole sana Dada Zamda Geuka. Hilo ni tatizo Dogo sana, kama hutojali nakukalibisha PM nikuelekeze nn cha kufanya.
Nunua boga, kisha likate vipande vidogo vidogo pamoja na mbegu zake, vianike juani hadi vikauke. Vikikauka visage au vitwange hadi viwe unga laini. Tafuta bakuli au chupa ya kuhifadhia.
Nunua asali, kisha chukua kijiko kimoja cha unga wa boga changanya na maji ya uvuguvugu, kisha ongeza vijiko viwili vya asali koroga na furahia juisi ya boga, pata juisi mara mbili kwa siku, asubuhi na jioni, kwa wiki mbili.
Kama hali haikubadilika nenda hospitali wakufanyie vipimo, mara nyingi tatizo lako linasababishwa na kupungua kwa ute kwenye pingili za uti wa mgogo, kwenye magoti na kenye maungio ya kiuno. Boga hurejesha ute kwa haraka kuliko aina nyingine za tiba.
pole sana ndugu utapona tu