mgongo,nyonga na kiuno vinanitesa.

Showme

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2014
Posts
1,251
Reaction score
498
Wanajf,nasumbuliwa na vitu hivyo, mwenye uzoefu wa matatizo hayo au kujua chanzo cha matatizo kama hayo aje hapa.Mbarikiwe sana.
 
vuta subira watakuja wadau kukushauri, pole sana!
 
Wanajf,nasumbuliwa na vitu hivyo, mwenye uzoefu wa matatizo hayo au kujua chanzo cha matatizo kama hayo aje hapa.Mbarikiwe sana.

toa maelezo sahhi na ya kujitosheleza. vinakutesa kivipi?.ukiviona unahemuka au?
 
toa maelezo sahhi na ya kujitosheleza. vinakutesa kivipi?.ukiviona unahemuka au?

Acha masihara umri wangu si wakuhemukahemuka bila utaratibu,hivyo vitu vinaniuma sana kiuno kikishika sisimami wala kutembea natambaa,mgongo siwezi kukaa kwa mda mrefu ofisini naunganisha viti nalala,nyonga ikiuma nachechemea mguu unakuwa kama unashika ganzi.
 
Pole jaman,Jaribu ku mpm Mzizimkavu,anajua dawa nyingi za kiswahili na anaweza saidia tatizo lako,kama hizo za hospitali zimeshindwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…