Machuchu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2017
- 1,260
- 965
za leo.
Ni miaka mitano (5) sasa mgongo unaniuma sana tena mno. Wengi waliniambia kwa kua umetoka kujifungua, na nilijifungua kwa njia ya kawaida. kuna miaka mi2 nyuma uliacha sasaiv umeludia tena wengi walisema ni godoro, kuna siku nilienda kwa wifi yangu nikakaa siku4 nikasema ngoja nione kama ni godoro ila hali ikawa ni vilevile.
Je, dawa nini nikandwe tena na maji ya moto? Kuna mama mtu mzima aliniambia ata panadol nisiwe nameza wenyew utatulia ila alinishauli niwe naoga maji ya vuguvugu mda wowote.
NB: Nina mtoto mmoja tu.
Ni miaka mitano (5) sasa mgongo unaniuma sana tena mno. Wengi waliniambia kwa kua umetoka kujifungua, na nilijifungua kwa njia ya kawaida. kuna miaka mi2 nyuma uliacha sasaiv umeludia tena wengi walisema ni godoro, kuna siku nilienda kwa wifi yangu nikakaa siku4 nikasema ngoja nione kama ni godoro ila hali ikawa ni vilevile.
Je, dawa nini nikandwe tena na maji ya moto? Kuna mama mtu mzima aliniambia ata panadol nisiwe nameza wenyew utatulia ila alinishauli niwe naoga maji ya vuguvugu mda wowote.
NB: Nina mtoto mmoja tu.