Asante sana mkuu nmekuelewaLa msingi pia ni mgonjwa kumaliza dose zake 6months Tb ni rahisi sana kutengeneza usugu endapo mgonjwa atacheza na dawa.
Kuna hatua nne za kutibu Tb
stage 1
stage 2
stage 3
stage 4...hii ni mbaya na hutokea pale Mgonjwa anaposhindwa kutumia dawa vizuri.
uwezekano wa kupona na kurudi kawaida upo kabisa
Daaah pole sana brooKuongezea waliyosema wadau hapo juu pia azingatie masharti atakayoshauriwa na doctor,mzee wangu mdogo Mungu amlaze pema aliumwa maradhi haya 2012 akatumia dose vizuri akamaliza akiwa na afya njema doc akamuamuru asivute sigara wala kunywa pombe{akitumia hizi pombe viroba}akapuuzia 2014 Mwananyamala Hospital aliiaga dunia huku akijiona.
Inawezekana. Mimi pia niliwahi kuugua. Na sasa Niko fit, na naweza kukimbia km 14 km. Cha muhimu ni kufuata masharti. Wacha pombe, sigara na pia sex kwa kipindi chote cha dawa. Pia chakula kizuri kama proteins ni muhimuHello member nimepata hamu ya kufaham ukweli kuhusu ugonjwa wa kifua kikuu maana una shambulia sehem nyeti za miili yutu hasa mapafu n.k, je kwa MTU ambae aliugua na kutibiwa anaweza kulud katika hari yake kama mwanzo au anaweza kushirikiichezo kama football au riadha nikiwa na maana ya kutoweza kupata shida ingine. Asanteni sana
Umeshauliwa vizuriHello member nimepata hamu ya kufaham ukweli kuhusu ugonjwa wa kifua kikuu maana una shambulia sehem nyeti za miili yutu hasa mapafu n.k, je kwa MTU ambae aliugua na kutibiwa anaweza kulud katika hari yake kama mwanzo au anaweza kushirikiichezo kama football au riadha nikiwa na maana ya kutoweza kupata shida ingine. Asanteni sana
Dogo, ondoa woga.Mm mwenyewe victim niliyetibiwa na kupo.a since April 2004.Nipo na shughuli zangu kawaida bila upungufu wowote ule.Muhimu zingatia masharti ya dr.Asilimia kubwa niliokuwa nipo nao kwenye trend waliishia njiani kwa kutifuata mashariti ya dr.usifanye kazi ngumu, fanya mazoezi mepesi,chakula ya kutosha.Ondoa wasiwasi.Hello member nimepata hamu ya kufaham ukweli kuhusu ugonjwa wa kifua kikuu maana una shambulia sehem nyeti za miili yutu hasa mapafu n.k, je kwa MTU ambae aliugua na kutibiwa anaweza kulud katika hari yake kama mwanzo au anaweza kushirikiichezo kama football au riadha nikiwa na maana ya kutoweza kupata shida ingine. Asanteni sana
Hapana unaeza kua na Tb na usiwe na ukimwi ni ugonjwa tu kama yalivyo magonjwa mengine, ila ninawajua watu wawili walikua na TB walipima na ukimwi wakakutwa nao.Kuna mtu aliniambia TB ni dalili mojawapo kuna mtu ana ukimwi au watu wenye ukimwi wanashambuliwa sana na TB .... je kuna ukweli hapo?
Hongera sana brooInawezekana. Mimi pia niliwahi kuugua. Na sasa Niko fit, na naweza kukimbia km 14 km. Cha muhimu ni kufuata masharti. Wacha pombe, sigara na pia sex kwa kipindi chote cha dawa. Pia chakula kizuri kama proteins ni muhimu
Mkuu mm niliugua hii kitu nikatumia dawa kwa kufuata utaratibu wa madakitari na sasa hivi nipo Mzimaaaa. Yaani hata ule mchezo wetu pendwa uleee na umudu tena zaidi ya awali [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hello member nimepata hamu ya kufaham ukweli kuhusu ugonjwa wa kifua kikuu maana una shambulia sehem nyeti za miili yutu hasa mapafu n.k, je kwa MTU ambae aliugua na kutibiwa anaweza kulud katika hari yake kama mwanzo au anaweza kushirikiichezo kama football au riadha nikiwa na maana ya kutoweza kupata shida ingine. Asanteni sana