Mgonjwa huyu jamani msaidieni..

Mgonjwa huyu jamani msaidieni..

Kunywa maji sana(Lita 1 au 2) na vyakula vya mboga mboga na samaki kwa wiki hii. Pia jitahidi kupunguza mihangaiko na unahitaji kulala angalau masaa kumi kila siku kwa wiki hii.
Ahsante sana yaani hayo maelekezo yako ilinibidi niyasumbukie Muhimbili (MNH) Mungu akuzidishie moyo wa huruma uliojaaliwa nao na mambo yako yazidi kukunyookea kama vile unavyotaka.
 
Back
Top Bottom