Mgonjwa wa asernal

Joined
Nov 11, 2008
Posts
782
Reaction score
40
Mgonjwa: naumwa sana
DR: Kazi?
MG: nilikuwa Afisa GTV
DR: Akiba unayo?
MG: Yote ipo DECI
DR: Unakaa wapi?
MG: Mbagala karibu na kambi ya jeshi
DR: Uba mume
MG: Hata nina Boy Friend anaitwa nani vile eeh Liyumba
DR: Timu yako
MG: Asernal
DR: Subiri kufa.
 
Last edited:
Mgonjwa: naumwa sana
DR: Kazi?
MG: nilikuwa Afisa GTV
DR: Akiba unayo?
MG: Yote ipo DECI
DR: Unakaa wapi?
MG: Mbagala karibu na kambi ya jeshi
DR: Timu yako
MG: Asernal
DR: Subiri kufa.


He he he , naona mukuu wewe unatakuwa nabii..Itabidi nikutafute ili unambie siku yangu ya kufwa.. 😀
 
Mgonjwa: naumwa sana
DR: Kazi?
MG: nilikuwa Afisa GTV
DR: Akiba unayo?
MG: Yote ipo DECI
DR: Unakaa wapi?
MG: Mbagala karibu na kambi ya jeshi
DR: Timu yako
MG: Asernal
DR: Subiri kufa
.
Yametimia kama yalivyoandikwa na nabii Kandambilimbili
 
kaali kwelikweli. Poleni Asenali...
 
Kandambili hebu fanya ushehe Yahaya wako leo itakuwaje Darajani? Maana wajitia Nabii weye!!
 

Teheeeee
 
Wewe kweli shekhe Yahaya..today ..nothing happened..lol
 
hehehehe....hii imekaa safi sana hasa pale kwenye Arsenal....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…