Mgonjwa wa asernal

Mgonjwa wa asernal

Joined
Nov 11, 2008
Posts
782
Reaction score
40
Mgonjwa: naumwa sana
DR: Kazi?
MG: nilikuwa Afisa GTV
DR: Akiba unayo?
MG: Yote ipo DECI
DR: Unakaa wapi?
MG: Mbagala karibu na kambi ya jeshi
DR: Uba mume
MG: Hata nina Boy Friend anaitwa nani vile eeh Liyumba
DR: Timu yako
MG: Asernal
DR: Subiri kufa.
 
Last edited:
Mgonjwa: naumwa sana
DR: Kazi?
MG: nilikuwa Afisa GTV
DR: Akiba unayo?
MG: Yote ipo DECI
DR: Unakaa wapi?
MG: Mbagala karibu na kambi ya jeshi
DR: Timu yako
MG: Asernal
DR: Subiri kufa.


He he he , naona mukuu wewe unatakuwa nabii..Itabidi nikutafute ili unambie siku yangu ya kufwa.. 😀
 
Mgonjwa: naumwa sana
DR: Kazi?
MG: nilikuwa Afisa GTV
DR: Akiba unayo?
MG: Yote ipo DECI
DR: Unakaa wapi?
MG: Mbagala karibu na kambi ya jeshi
DR: Timu yako
MG: Asernal
DR: Subiri kufa
.
Yametimia kama yalivyoandikwa na nabii Kandambilimbili
 
Kandambili hebu fanya ushehe Yahaya wako leo itakuwaje Darajani? Maana wajitia Nabii weye!!
 
Mgonjwa: naumwa sana
DR: Kazi?
MG: nilikuwa Afisa GTV
DR: Akiba unayo?
MG: Yote ipo DECI
DR: Unakaa wapi?
MG: Mbagala karibu na kambi ya jeshi
DR: Uba mume
MG: Hata nina Boy Friend anaitwa nani vile eeh Liyumba
DR: Timu yako
MG: Asernal
DR: Subiri kufa.

Teheeeee
 
Back
Top Bottom