Im not sure
Member
- Sep 6, 2013
- 36
- 24
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kula Asubuhi kabla ya kula kitu unapo amka kula punje 2 za kitunguu saumu na kisha kaa baada ya saa 1"kupita waweza kula chakula na wakati wa mchana kula tena punje 2 za kitunguu saumu kabla ya kula kitu na kaa baada ya saa moja kupita waweza kula na wakati wa usiku kula tena punje 2 za kitunguu saumu dumisha kula hivyo kwa muda wa siku 3 au siku 7 kisha njoo unipe Feedback.naomba mnisaidie dawa kama kuna uwezekano kifua kinabana.