Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,296
- 3,398
mkuu kwani kumpa mkewe ujauzito kunamzuia vipi asiperform?Hata yeye nae ATUPISHE tu kwani wenzake walikuwa wakifanya mazoezi ya mpira yeye kutwa alikuwa anafanya kazi ya kumpa tu UJAUZITO mkewe.
mkuu kwani kumpa mkewe ujauzito kunamzuia vipi asiperform?
Sio kweli mkuu,kuna clasic player wa europe mmoja,kama sijakosea nahsi alikuwa rooney yeye alisema kuwa kabla ya kucheza match hupendelea kwanza kushiriki tendo walau mara moja na df wake,na alikuwa vizuri na ku2pia,mi nadhani hapo ni swala la uwezo tu.Magoli yote muhimu na ya ushindi anayamalizia " shimoni / toboni " na akija uwanjani anambwela mbwela tu.
Sio kweli mkuu,kuna clasic player wa europe mmoja,kama sijakosea nahsi alikuwa rooney yeye alisema kuwa kabla ya kucheza match hupendelea kwanza kushiriki tendo walau mara moja na df wake,na alikuwa vizuri na ku2pia,mi nadhani hapo ni swala la uwezo tu.
Hapo sawa,ila tatizo la kuvurunda kwa simba ni matokeo ya vitu vingi sio wachezaji pekee,pamoja na sbb nyingine ila kuu ni timuatimua ya makochaMtanzania ukimpa FURSA ya kulala na Demu badala ya " KUKOJOZA " bao moja au mawili tu ya AFYA yeye atataka KUKOJOZA bao 13 au 15 sasa hapo patakuwa na mpira tena Mkuu?