Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
- Thread starter
-
- #21
talk ideas or leave the page. simpleKwa hiki kingereza chako cha ugokoni unajiona akili kubwa? Umeleta uzi wa kijinga, vimba pasuka , weka kingereza chote unachojua bado uzi wako wako ni wa kitoto na chuki tu kwa Mgunda na Club anayofundisha.
low quality players. dickson job kaachwa for those peopleHuyo jamaa ni chizi
Kafie mbele na ushamba wako, page ya babako hii?talk ideas or leave the page. simple
tff ni wezi tu. corruptKati ya tff na Mgunda ni upande gani uliofuata mwingine?
Kati ya Mgunda na tff ni upande upi uliofuata masharti ya mwingine?
Kati ya Simba na tff ni akina nani wanamlipa Mgunda fedha nzuri?
Kati yako na tff ni nani aliyemfuata Mgunda?
team ya taifa. huyu wanini?! progress ya wachezaji wa taifa stars ana access mda gani?? hii ni sabotage.Ni kocha wa timu ya wanawake
Wapeleke TAKUKURUtff ni wezi tu. corrupt
Wacha chuki binafsi hiyo wewe !team ya taifa. huyu wanini?! progress ya wachezaji wa taifa stars ana access mda gani?? hii ni sabotage.
Ni corrupt sana. sio simba tu, team zipo nyingi sana. huyu ni kocha mzuri ila corrupt sana.Hawezi pewa simba kwa sababu ya ujinga wetu sie watz kwa kupenda kuleta wageni. Mbona timu ina perform akiwepo yeye.
Sie ni roho mbaya tuu. Tupo tayari kumlipa mgeni mil 40 lakini haperform. Mzawa anapaform twataka kumkopa
Pesa Maokoto Mapenewhy is he working in 2 teams at the same time we have alot of other managers why him??
Sasa corrupt kivipi tena wakati weye muajiri wamkopa...sema waajiri ndio corruptNi corrupt sana. sio simba tu, team zipo nyingi sana. huyu ni kocha mzuri ila corrupt sana.
Akiambiwa ukweli anakuja na mkwala wa kingereza.Hizi bangi mnazovuta hazitawaacha salama.
usimba na uyanga ni janga la hii nchi.Muongezee na Salim..mechi iliyopita na Zambia sijui kama mtoa mada alliona?
Ukweli mtupu.Mfano mchezaji anaitwa letter/Barua kiwango chake ni kidogo sana kuchezea timu ya Taifa.
Mgunda na Matola huwa na wachezaji wao wa ten percent hilo linafahamika wazi,Kuna mchezaji mmoja alipita Simba na aliwahi kuishi maeneo ya Tandale ni mshkaji wangu wa karibu sana aliwahi kunipa habari hizo.
Sasa una msurutishaje Mgunda ilihali ukifahamu bayana kuwa ni Mwl wa mchezo wa mpira wa miguu?tff ni wezi tu. corrupt