Mgunda ailalamikia Bodi ya Ligi

Mbona hamkuongea kipindi Bm3 alivyo ikosa Kariakoo Derby,hebu kausheni bhana kila kitu si lazima mkiletee uzi humu ilitakiwa mzoee na muone ya kawaida kama YANGA ilivyo watokea.
Yanga, (wala mihogo) ni tofauti na Simba sports club. Ukiona simba wanaongea fahamu kuwa lipo la kujifunza. Elewa kwanza kilichosemwa.
Taarifa ya chama imefika jana wakati timu ina game leo.

Vipi hapo linafanana na lile la chokoraa wenu? Taarifa yake ilitoka siku moja kabla ya game?
 
Watu wanatoa adhabu Kwa kuviziana. Utadhani Polisi wanakukamata Ijumaa ili ukose dhamana Hadi Jumatatu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…