Mbigirikavu
Senior Member
- Aug 19, 2022
- 101
- 118
- Thread starter
- #21
Yanga, (wala mihogo) ni tofauti na Simba sports club. Ukiona simba wanaongea fahamu kuwa lipo la kujifunza. Elewa kwanza kilichosemwa.Mbona hamkuongea kipindi Bm3 alivyo ikosa Kariakoo Derby,hebu kausheni bhana kila kitu si lazima mkiletee uzi humu ilitakiwa mzoee na muone ya kawaida kama YANGA ilivyo watokea.
Taarifa ya chama imefika jana wakati timu ina game leo.
Vipi hapo linafanana na lile la chokoraa wenu? Taarifa yake ilitoka siku moja kabla ya game?