scolastika
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,863
- 5,719
haya ni kama kalabao timu nyingi huwa zonayapuuza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa muwazi sema kocha wenu ni mbumbumbu wa kutupwa he knows nothing about footballKukosea ni kawaida hata kipindi tunacheza mashindano ya CAF na Agosto aliwahi kusema Agosto ndio mabingwa wa ligi yao kitu ambacho hakikuwa sahihi
Kocha kilaza, mzee wa pensi kitambi.Akihojiwa na mtangazaji wa Azam TV baada ya kupoteza mechi dhidi ya Mlandege 0-1 amesema bado ana matumaini ya kushinda mechi 2 zilizobaki katika kundi lao C na kutinga hatua ya nusu fainali kutetea ubingwa wao.
Tangu ratiba inatolewa kundi C lilikuwa na timu 3 tu yaani;
1. Simba
2. Mlandege
3. KVZ
Mechi ya kwanza kwenye kundi hili ilikuwa baina ya Mlandege na KVZ iliyomalizika kwa sare ya 1-1 na Leo mechi ya pili Simba vs Mlandege.
Kwa maana nyingine Kundi limebakiza mechi moja tu Simba vs KVZ ambayo hata Simba akishinda anapata point 3 ambazo hazitamsaidia kuongoza kundi maana tayari Mlandege ana pwenti 4 na anahtajika mshindi mmoja tu.
Labda uelewa wangu kuhusu kanuni za mashindano haya siyo mzuri kiasi kwamba Simba kweli bado ana mechi 2?
Anatakiwa kujua vyote na kanuni zinazotawala mashindano.Mtangazaji yawezekana hakujua. Maana ili sio field yake
Lakini mgunda ndio kachemka zaidi. Nimesikia leo kwenye tena kwenye mahojiano mengine anajaribu kujiteteaAnatakiwa kujua vyote na kanuni zinazotawala mashindano.
Papaa Mgunda akiomba radhi kuhusina na alichosema kubakiza mechi 2 kwenye mashindano ya Mapinduzi!Akihojiwa na mtangazaji wa Azam TV baada ya kupoteza mechi dhidi ya Mlandege 0-1 amesema bado ana matumaini ya kushinda mechi 2 zilizobaki katika kundi lao C na kutinga hatua ya nusu fainali kutetea ubingwa wao.
Tangu ratiba inatolewa kundi C lilikuwa na timu 3 tu yaani;
1. Simba
2. Mlandege
3. KVZ
Mechi ya kwanza kwenye kundi hili ilikuwa baina ya Mlandege na KVZ iliyomalizika kwa sare ya 1-1 na Leo mechi ya pili Simba vs Mlandege.
Kwa maana nyingine Kundi limebakiza mechi moja tu Simba vs KVZ ambayo hata Simba akishinda anapata point 3 ambazo hazitamsaidia kuongoza kundi maana tayari Mlandege ana pwenti 4 na anahtajika mshindi mmoja tu.
Labda uelewa wangu kuhusu kanuni za mashindano haya siyo mzuri kiasi kwamba Simba kweli bado ana mechi 2?
Mbona kuna logo za CAF nyuma? Kulikuwa na tukio gani lililohusisha uwepo wa logo za CAF?Papaa Mgunda akiomba radhi kuhusina na alichosema kubakiza mechi 2 kwenye mashindano ya Mapinduzi!
View attachment 2470701
Ukiona hivyo haikuwa kipaombele chao,Timu ya simba haijielewi hata kidogo! Yaani wana mechi 2 tu za kucheza ili kuingia nusu fainali. Na wakati huo huo walitambua fika wapinzani wao wameshacheza mechi na kutoa sare!
Badala ya kuingiza kikosi chake imara ili kupata ushindi, halafu mechi ya pili ndiyo wangefanya mabadiliko! (Maana hawana kikosi kipana! No Chama, no goal! No assist) Wenyewe wakachagua kuanza na kikosi dhaifu. Mwisho wa siku, wameishia tu kufedheheka.
Wamekopi kutoka kwenye mashindano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (kwa sasa umaarufu KAGAME).Mashindano ni ya ajabu kwa hiyo haishangazi kosa hilo kufanyika. Wewe mashindano, group lina timu 3? Mashindano hayana robo fainali?