Mgunda amenishangaza leo Mapinduzi Cup

Kocha kilaza, mzee wa pensi kitambi.
 
Papaa Mgunda akiomba radhi kuhusina na alichosema kubakiza mechi 2 kwenye mashindano ya Mapinduzi!

Your browser is not able to display this video.
 
Mashindano ni ya ajabu kwa hiyo haishangazi kosa hilo kufanyika. Wewe mashindano, group lina timu 3? Mashindano hayana robo fainali?
 
Ukiona hivyo haikuwa kipaombele chao,
 
Mashindano ni ya ajabu kwa hiyo haishangazi kosa hilo kufanyika. Wewe mashindano, group lina timu 3? Mashindano hayana robo fainali?
Wamekopi kutoka kwenye mashindano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (kwa sasa umaarufu KAGAME).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…