Mgunda aondoke Simba

Mgunda aondoke Simba

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
2,754
Reaction score
4,975
Kwa mwenendo huu wa klabu ni wazi kwamba Simba itaenda kuaibisha taifa huko nje. Leo hii Simba inashindwa kabisa kuifunga Yanga, wachezaji wazembe, hawajitumi, tunategemea nini?

Kwanini asipatikane kocha makini kama Nabi a.k.a Prof. Nabi, Kocha makini anayejua anachokifanya. Simba hata kuifunga De Agosto ni vile tu imebahatika kupangiwa na klabu mbovu mbovu lakini kama ingepangiwa na Al Hilal nina uhakika aibu ingekuwa kubwa mno!

Tunashukuru angalau wenzetu wamepambana kiume kuzuia aibu, ambayo kama ingekuwa Simba ingekufa hata 7-0.

Siku zote Simba kuingia Klabu Bingwa ni kutokana na bahati tu kupangiwa na vilabu dhaifu. Uongozi wa Simba uchukue hatua mapema. Mgunda aondoke!
 
Jezi yangu ya njano baada ya kuifua imekauka, wiki nzima nasubiri tu. Kesho naipiga wiki nzima.
 
Kwa mwenendo huu wa club ni wazi kwamba Simba itaenda kuaibisha taifa huko nje, Leo hii Simba inashindwa kabisa kuifunga Yanga, Wachezaji wazembe, Hawajitumi, Tunategemea nini? Kwanini asipatikane kocha makini kama Nabi a.k a Prof Nabi, Kocha makini anayejua anachokifanya. Simba hata kuifunga de Agosto ni vile tu imebahatika kupangiwa na club mbovu mbovu lakini kama ingepangiwa na Al hilal nina uhakika aibu ingekuwa kubwa mno!

Tunashukuru angalau wenzetu wamepambana kiume kuzuia aibu ambayo kama ingekuwa Simba ingekufa hata 7-0.

Siku zote Simba kuingia club bingwa ni kutokana na bahati tu kupangiwa na vilabu dhaifu.Uongozi wa Simba uchukue hatua mapema. Mgunda aondoke!
Uto hujui hata mnakutana na waarabu mkagongwe tena!
 
Ni vile tu siwez kutukana, kwan kila kitu lazima uandike, haya huyo role model wako nabi kavuna nin cha kujivunia?

Yanga kafunga magoli mangapi mpk useme 7-0 au leo simba alicheza na ihefu yanga akacheza na al ahly?
 
Utopolo mmoja kakosa content
20221020_225803.jpg
 
Kwa mwenendo huu wa club ni wazi kwamba Simba itaenda kuaibisha taifa huko nje, Leo hii Simba inashindwa kabisa kuifunga Yanga, Wachezaji wazembe, Hawajitumi, Tunategemea nini? Kwanini asipatikane kocha makini kama Nabi a.k a Prof Nabi, Kocha makini anayejua anachokifanya. Simba hata kuifunga de Agosto ni vile tu imebahatika kupangiwa na club mbovu mbovu lakini kama ingepangiwa na Al hilal nina uhakika aibu ingekuwa kubwa mno!

Tunashukuru angalau wenzetu wamepambana kiume kuzuia aibu ambayo kama ingekuwa Simba ingekufa hata 7-0.

Siku zote Simba kuingia club bingwa ni kutokana na bahati tu kupangiwa na vilabu dhaifu.Uongozi wa Simba uchukue hatua mapema. Mgunda aondoke!
Naona umeikejeli Utopolo ki style kwa kuwapaka mafuta kwa mgongo wa chupa
 
Back
Top Bottom