Acha kupamba mavi mauaOkwa ni mchezaji mkali sana..sema wajinga wengi hawajui hilo
Sio Azam nayoijua wala hatukukamia ball ilipigwa tuNatamani Simba amfunge Azam. Azam alijifanya anamkamia Yanga ngoja leo afungwe aporomoke mpaka nafasi ya 10
Hujui mpira wewe. Angalia mechi amecheza yote, Kama ile ya Rivers na utopolo ndo utajuaAcha kupamba mavi maua
Alicheza na wajingaHujui mpira wewe. Angalia mechi amecheza yote, Kama ile ya Rivers na utopolo ndo utajua
Achana na ile ongelea hizi alizocheza Simba kuna anacho offer zaidi ya backpassHujui mpira wewe. Angalia mechi amecheza yote, Kama ile ya Rivers na utopolo ndo utajua
Ask her[emoji3516] broAchana na ile ongelea hizi alizocheza Simba kuna anacho offer zaidi ya backpass
Nyoni umri sawa na Agrey MorrisKwakweli Kuna Matatizo makubwa kwenye hii nafasi 6, 8.
Japo viungo wengine hujawataja.
Akpan.
Mkude.
Nyoni.
Ni kweli sijawataja kwa kuwa nikitazama tempo ya game ya Azam naona Nyoni na Mkude hawataendana nayo. Tuliwaona kwenye game ya Yanga. Akpan sidhani kama ataweza kuingia moja kwa moja kikosi cha kwanza.Kwakweli Kuna Matatizo makubwa kwenye hii nafasi 6, 8.
Japo viungo wengine hujawataja.
Akpan.
Mkude.
Nyoni.
Basi leo mjiandae kwend nafasi ya 10Sio Azam nayoijua wala hatukukamia ball ilipigwa tu
Aya sawa ila simba hamshindiBasi leo mjiandae kwend nafasi ya 10