Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
Hii umeona wapi!? Kocha wa taifa. Ana kuwa pia kocha wa team ya league at the Same time.
TFF watoe majibu?
Pichani ni makocha wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Hemed Suleiman ‘Morocco’ na Juma Mgunda walipokuwa mazoezini leo katika dimba la KMC, Mwenge.
Makocha hao wanaiongoza Stars kuelekea mechi za Kufuzu AFCON2025 wakianzia Septemba 4, kwenye mtanange dhidi ya Ethiopia.
TFF watoe majibu?
Pichani ni makocha wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Hemed Suleiman ‘Morocco’ na Juma Mgunda walipokuwa mazoezini leo katika dimba la KMC, Mwenge.
Makocha hao wanaiongoza Stars kuelekea mechi za Kufuzu AFCON2025 wakianzia Septemba 4, kwenye mtanange dhidi ya Ethiopia.