Yoav Gallant
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 2,122
- 4,699
Atakuwa anapiga deiwaka maana yupo kule Simba queen anacheki misambwandaKwa hio timu ya taifa anafanya kama part time job? kuweni serious na professional, ukocha sio uwanjani tu wakati ligi zinaendelea makocha wa timu za taifa wanasafiri kufatilia wachezaji ataowaita, ana andaa mipango ya muda mrefu kama tuna kocha wa wiki mbili hakuna sehemu tunaenda