Mgunda, nini kimekusibu?

Mgunda, nini kimekusibu?

Alivokua coast anawakanda yanga na azam miaka yote ilikua anabebwa na wewe?
umeanza fatilia mpira juzi kijana nani kakwambia amewahi shida mbele ya mabingwa mara 28

alikuwa anachapika akijikongoja ni draw
 
Mashabiki mandazi wa Makolo hawanaga subira mamaae
 
Sawa ni matokeo ya mpira lakini punguza hizi confidence zako. Itakugharimu pia, hutakiwi kufungwa.

Kikosi chako cha leo ni cha kisela, umetuwekea vibabu, please kipindi hiki sio cha majaribio, ni kipindi cha point tatu, so weka akili yako sawa sawa, eboh!

Achana na mambo ya uzawa, tunataka competence na hatutakiwi kufungwa NEVER, no excuse please.

Watu kama Nyoni, Boko etc etc hao wanaingia the moment timu inamatokeo ya kuridhisha, please you should be serious na usipende kujaribu mambo kwenye mambo ya msingi. Achana na hivi vitabia.

Last Financial Year MAUTOPOLO yalichukua kombe kwa ku create gaps kama hizi za mapema, mwisho wa siku ikawa ni hardly kuzifikia, please weka akili yako sawa sawa ni lazima lazima lazima SSC kuchukua kombe mwaka huu, hata kwa mtutu, Please no excuse, ni lazima.

Umefungwa kipindi cha kwanza, so you should learn to focus and identify areas of weakness ili uje na come- back ya maana, ni lazima ujifunze ku switch the football. Usiwe kocha wa hovyo. Unafungwaje dakika ya 30, unashindwa kuja na come back ? With all due respect Sir, what happened to you? SSC ni timu kubwa, na you have the resources, come back ni lazima iwe ya maana na ushindi ni lazima.

SSC has been established to win, winning is a MUST, sio hiyari au dua. Hatuhitaji dua wala hiyari kushinda, kushinda ni lazima, no excuse.

Weka watu ambao they can utilize chances effectively, sio kuweka Mtu anakosa yeye na goli.

We are watching you closely, na weka akili yako vyema, we are very much disappointed na haisameheki.
Wataalam wa come back ni Yanga pekee.
 
Mo awape bil 20 zenu acheni ujinga na kuna tetesi kuwa mgunda hajalipwa fedha zale za mwezi huu na marupurupu ndo maana kaamua kuwakomoa leo gadiola wa mchongo🥵🥵🤣🤣🤣
Unazijua Bilioni 20 wewe?

Twente Bilioni unaweza kununua benki!

 
Sawa ni matokeo ya mpira lakini punguza hizi confidence zako. Itakugharimu pia, hutakiwi kufungwa.

Kikosi chako cha leo ni cha kisela, umetuwekea vibabu, please kipindi hiki sio cha majaribio, ni kipindi cha point tatu, so weka akili yako sawa sawa, eboh!

Achana na mambo ya uzawa, tunataka competence na hatutakiwi kufungwa NEVER, no excuse please.

Watu kama Nyoni, Boko etc etc hao wanaingia the moment timu inamatokeo ya kuridhisha, please you should be serious na usipende kujaribu mambo kwenye mambo ya msingi. Achana na hivi vitabia.

Last Financial Year MAUTOPOLO yalichukua kombe kwa ku create gaps kama hizi za mapema, mwisho wa siku ikawa ni hardly kuzifikia, please weka akili yako sawa sawa ni lazima lazima lazima SSC kuchukua kombe mwaka huu, hata kwa mtutu, Please no excuse, ni lazima.

Umefungwa kipindi cha kwanza, so you should learn to focus and identify areas of weakness ili uje na come- back ya maana, ni lazima ujifunze ku switch the football. Usiwe kocha wa hovyo. Unafungwaje dakika ya 30, unashindwa kuja na come back ? With all due respect Sir, what happened to you? SSC ni timu kubwa, na you have the resources, come back ni lazima iwe ya maana na ushindi ni lazima.

SSC has been established to win, winning is a MUST, sio hiyari au dua. Hatuhitaji dua wala hiyari kushinda, kushinda ni lazima, no excuse.

Weka watu ambao they can utilize chances effectively, sio kuweka Mtu anakosa yeye na goli.

We are watching you closely, na weka akili yako vyema, we are very much disappointed na haisameheki.
Umeongea point alafu kwa uchungu Sana.
 
Aliwakanda Yanga mechi gani? Kaiongoza coastal mechi 6 vs Yanga na Kashinda 1 tu.

Sasa hizo takwimu kuwa alikua anawakanda Yanga kila siku ziko wapi?
na simba akawa anapigwa 8-0,7-0

NB: mwenye cv ya mgunda.km amewahi kutwa ubingwa.kufikisha timu nafasi za juu .au amewahi ht kuwa kocha bora wa mwezi?
 
na simba akawa anapigwa 8-0,7-0

NB: mwenye cv ya mgunda.km amewahi kutwa ubingwa.kufikisha timu nafasi za juu .au amewahi ht kuwa kocha bora wa mwezi?

Mwaka jana kaifikisha Coastal Union 2021/22 fainal ya azam federation cup
FT= Coastal Union 3 vs 3 Yanga.... kapoteza penalty 4 vs 5
 
Mwaka jana kaifikisha Coastal Union 2021/22 fainal ya azam federation cup
FT= Coastal Union 3 vs 3 Yanga.... kapoteza penalty 4 vs 5
ni hiki tu? Kn kingine?


Ndo maana mkampa timu ya taifa yule mrundi kisa alifika fainali ya FA akiwa na mbao
 
Sawa ni matokeo ya mpira lakini punguza hizi confidence zako. Itakugharimu pia, hutakiwi kufungwa.

Kikosi chako cha leo ni cha kisela, umetuwekea vibabu, please kipindi hiki sio cha majaribio, ni kipindi cha point tatu, so weka akili yako sawa sawa, eboh!

Achana na mambo ya uzawa, tunataka competence na hatutakiwi kufungwa NEVER, no excuse please.

Watu kama Nyoni, Boko etc etc hao wanaingia the moment timu inamatokeo ya kuridhisha, please you should be serious na usipende kujaribu mambo kwenye mambo ya msingi. Achana na hivi vitabia.

Last Financial Year MAUTOPOLO yalichukua kombe kwa ku create gaps kama hizi za mapema, mwisho wa siku ikawa ni hardly kuzifikia, please weka akili yako sawa sawa ni lazima lazima lazima SSC kuchukua kombe mwaka huu, hata kwa mtutu, Please no excuse, ni lazima.

Umefungwa kipindi cha kwanza, so you should learn to focus and identify areas of weakness ili uje na come- back ya maana, ni lazima ujifunze ku switch the football. Usiwe kocha wa hovyo. Unafungwaje dakika ya 30, unashindwa kuja na come back ? With all due respect Sir, what happened to you? SSC ni timu kubwa, na you have the resources, come back ni lazima iwe ya maana na ushindi ni lazima.

SSC has been established to win, winning is a MUST, sio hiyari au dua. Hatuhitaji dua wala hiyari kushinda, kushinda ni lazima, no excuse.

Weka watu ambao they can utilize chances effectively, sio kuweka Mtu anakosa yeye na goli.

We are watching you closely, na weka akili yako vyema, we are very much disappointed na haisameheki.
Kama imekuuma VAA uondoke.

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom