Mkuu, sasa hivi kelele za kumtaka kocha Matola hazisikiki.sio Mgunda tu kocha yeyote yule anae boronga mashabiki hawamuachi salama,hata kama alishawai kuipa timu mataji yote ya Duniani ila akianza kuboronga tu mashabiki wanaruka nae.
Vip ww unawekaga kwenye mfuko wa uzazi?Ndo maana huwa anaweka mikono mfukoni mwa suruali ati!?
Wamuulize asene wengasio Mgunda tu kocha yeyote yule anae boronga mashabiki hawamuachi salama,hata kama alishawai kuipa timu mataji yote ya Duniani ila akianza kuboronga tu mashabiki wanaruka nae.
huyu hamna kitu ngoja akakutane na mazembe mamelod as vita ndo atauona moto kwenda angola kukutana na lipuli na mbao na biashara united anajikuta kocha bora afrika
Hiyo ni kawaida kwa makocha woteJuma Mgunda, sasa hivi ni kocha wa klabu ya Simba. Tokea ajiunge na klabu hii pana watu wanajitahidi kumpamba kuwa ni kocha mzawa mzuri mno, wakitaka kututoa katika kumbukumbu kuwa katokea timu ya Coastal Union iliyopo Ligi Kuu kama timu ya Simba.
Mimi, naamini kuwa kufanya vizuri kwa timu ya Simba sasa hivi ni kwa juhudi za wachezaji, klabu iliyowasajiri na si usajiri alioufanya kocha Mgunda. Hivyo namtahadharisha kocha huyo kujiandaa kisaikolojia kuwa wanaomsifia sasa hivi kwa timu kufanya vizuri kimichezo ndiyo hao hao watakao mzomea kesho pindi timu ikianza kufanya vibaya.
Sasa hivi kelele za kumtaka kocha Matola wala hazisikiki na ndiyo muda mzuri kwake kuondoka hapo.
Tatizo lenu huwa mnasahau mapema sana, hayo Mambo kuzomea na kurusha makopo yameanzia kwenu mashabiki wa YangaUmeshawahi kuwaona mashabiki wa Yanga wakimzomea hadharani na kumrushia kocha makopo ya maji, kama mlivyo mfanyia Matola?
Juma Mgunda, sasa hivi ni kocha wa klabu ya Simba. Tokea ajiunge na klabu hii pana watu wanajitahidi kumpamba kuwa ni kocha mzawa mzuri mno, wakitaka kututoa katika kumbukumbu kuwa katokea timu ya Coastal Union iliyopo Ligi Kuu kama timu ya Simba.
Mimi, naamini kuwa kufanya vizuri kwa timu ya Simba sasa hivi ni kwa juhudi za wachezaji, klabu iliyowasajiri na si usajiri alioufanya kocha Mgunda. Hivyo namtahadharisha kocha huyo kujiandaa kisaikolojia kuwa wanaomsifia sasa hivi kwa timu kufanya vizuri kimichezo ndiyo hao hao watakao mzomea kesho pindi timu ikianza kufanya vibaya.
Sasa hivi kelele za kumtaka kocha Matola wala hazisikiki na ndiyo muda mzuri kwake kuondoka hapo.
They hired to be fired, naona matola mwisho wake umefika maana simba wakipata kocha mkuu mgunda anakuwa msaidiziJuma Mgunda, sasa hivi ni kocha wa klabu ya Simba. Tokea ajiunge na klabu hii pana watu wanajitahidi kumpamba kuwa ni kocha mzawa mzuri mno, wakitaka kututoa katika kumbukumbu kuwa katokea timu ya Coastal Union iliyopo Ligi Kuu kama timu ya Simba.
Mimi, naamini kuwa kufanya vizuri kwa timu ya Simba sasa hivi ni kwa juhudi za wachezaji, klabu iliyowasajiri na si usajiri alioufanya kocha Mgunda. Hivyo namtahadharisha kocha huyo kujiandaa kisaikolojia kuwa wanaomsifia sasa hivi kwa timu kufanya vizuri kimichezo ndiyo hao hao watakao mzomea kesho pindi timu ikianza kufanya vibaya.
Sasa hivi kelele za kumtaka kocha Matola wala hazisikiki na ndiyo muda mzuri kwake kuondoka hapo.
Mimi naongelea makocha, wewe unaleta story za akina Metacha Mnata, Lamine Moro! Bora hata ulivyomtaja huyo Mwinyi Zahera, walau umejibu vile inavyotakiwa. Ingawa bado unaonekana huna uhakika.Tatizo lenu huwa mnasahau mapema sana, hayo Mambo kuzomea na kurusha makopo yameanzia kwenu mashabiki wa Yanga
Mshamzomea mwinyi zahera na kumrushia makopo zaidi ya mara 1
Ya Kwanza kule mwanza katika game ya Pyramid na nyie mkafa goli 2-1, baada ya hapo mwinyi zahera au Mr vipensi akala sana makopo ya kichwa mixer matusi
Game ingine ilikuwa pale Taifa mmetoa draw na Lipuli kama sijasahau, Mwinyi zahera ikabidi apate escort ya polisi baada ya makopo kumzidia
Mshawahi kumzomea na kumrushia makopo Lamine Molo hadi akawaoneshea kidole cha Kati pale Kwa mkapa
Mshawahi kumzomea na kumrushia makopo Metacha Mnata hadi akawaoneshea kidole cha Kati tena pale Kwa mkapa
Kwahiyo msijifanye nyie ni wastarabu sana kumbe nyie ndio mnaongoza Kwa vurugu
Hata Kaze mmewahi kumtukana kwenye ile game yenu iliyowaharibia unbeaten record kule Tanga. Mlifululiza draw kisha mkapoteza huo mchezo, alioga matusi mpaka ikabidi apewe escort kuingia kwenye bus la team.Mimi naongelea makocha, wewe unaleta story za akina Metacha Mnata, Lamine Moro! Bora hata ulivyomtaja huyo Mwinyi Zahera, walau umejibu vile inavyotakiwa. Ingawa bado unaonekana huna uhakika.
Huko mbali ,subiri 23 octoberhuyu hamna kitu ngoja akakutane na mazembe mamelod as vita ndo atauona moto kwenda angola kukutana na lipuli na mbao na biashara united anajikuta kocha bora afrika
Sina uhakika kivipi sasa ikiwa nimekupa na ushahidi? Kwahiyo wewe mwanayanga hujui kama wenzio walimzomea na kumrushia makopo Mwinyi zaheraMimi naongelea makocha, wewe unaleta story za akina Metacha Mnata, Lamine Moro! Bora hata ulivyomtaja huyo Mwinyi Zahera, walau umejibu vile inavyotakiwa. Ingawa bado unaonekana huna uhakika.
unaumia kutokea wapi? pole1Juma Mgunda, sasa hivi ni kocha wa klabu ya Simba. Tokea ajiunge na klabu hii pana watu wanajitahidi kumpamba kuwa ni kocha mzawa mzuri mno, wakitaka kututoa katika kumbukumbu kuwa katokea timu ya Coastal Union iliyopo Ligi Kuu kama timu ya Simba.
Mimi, naamini kuwa kufanya vizuri kwa timu ya Simba sasa hivi ni kwa juhudi za wachezaji, klabu iliyowasajiri na si usajiri alioufanya kocha Mgunda. Hivyo namtahadharisha kocha huyo kujiandaa kisaikolojia kuwa wanaomsifia sasa hivi kwa timu kufanya vizuri kimichezo ndiyo hao hao watakao mzomea kesho pindi timu ikianza kufanya vibaya.
Sasa hivi kelele za kumtaka kocha Matola wala hazisikiki na ndiyo muda mzuri kwake kuondoka hapo.
Nakuunga mkono. Nasisitiza Mgunda apewe mshahara mkubwa unaolingana na hadhi ya Simba na unaolingana na ule waliokuwa wanapewa makocha wengine wa nje. Isitokee kabisa ikawa Mgunda amepewa hiyo nafasi kama njia ya kubana matumizi!!!Utopolo mnaakili za kijinga sana.
Kanuni ya kocha ni kuajiriwa na kufukuzwa, hakuna club yoyote ile ambayo ina malengo fulani itakaa na kocha for a lifetime. Kwasasa anafanya vuzuri wacha apokee sifa zake ili ajivunie kazi yake, irakapofikia hatua mbinu zake zimefika ukomo wa kuleta matokeo mazuri kutokana na sababu mbalimbali, basi sharti ni AFUKUZWE ili kutafuta changamoto sehemu nyingine.
Wameondoka akina Pitso Masandawana na Ahly itakuwa Mgunda? Kikubwa tu ambacho natamani kuona ni Mgunda apewe maslahi makubwa sawa na jinsi ambavyo waliwatukuza wazungu, Utz wake uaiwe kigezo cha kumyonya ila siku anaondoka Simba Sc basi awe na la kukumbuka na kushukuru.