Mgunda, wanaokusifia leo ndiyo hao hao watakaokuzomea kesho

Si ni sawa hata kwa Nabi tu, mlimsifia sana lkn ndio hivyo tena ameshakalia kuti kavu
 
Huo ndio ukweli ngoja waingia mskundi wapigwe ingia toka atapata akili tu
 
Mkuu, sasa hivi kelele za kumtaka kocha Matola hazisikiki.
Mimi nilikua mdau mkunbwa wa kuhoji kosa la Matola ni lipi,fatilia hata humu kwenye nyuzi za kumuhusu Matol
a"Veron"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…