kindege534
Member
- Jul 28, 2014
- 97
- 24
Ni kitambo nimekua nafuatilia JF kupata taarifa mbalimbali nikiwa unregistered, kwa sababu sikupenda baadhi ya majibizano yaliyotumia lugha chafu.
Baada ya kitambo nikagundua naweza kujiunga na kutumia majukwaa baadhi ninayoyapenda. Basi baada ya kugundua hili nikaji register mara moja. Nawasalimu nyote.
Baada ya kitambo nikagundua naweza kujiunga na kutumia majukwaa baadhi ninayoyapenda. Basi baada ya kugundua hili nikaji register mara moja. Nawasalimu nyote.